
Mganga Mfawidhi Akimbizwa Hospitali Baada ya Ajali ya Kushtua – Video – Global Publishers
Mganga Mfawidhi wa Wilaya ya Arusha, Saidi Salimu, amepata ajali ya gari akiwa na gari yake ndogo aina ya Benz lenye namba za usajili T782 EHP katika Barabara ya East Africa, maeneo ya Karavati, baada ya kugongwa na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T224 BRS ambalo lilipata hitilafu ya…