TBS YAENDELEZA MAFUNZO YA KANUNI ZA UONGEZAJI VIRUTUBISHO KWENYE CHAKULA

::::::: Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa mafunzo kuhusu ubora, viwango na kanuni za uongezaji virutubishi kwenye mazao ya chakula ikiwemo mahindi, ngano, chumvi na mafuta yaliyosafishwa, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kanuni ya mwaka 2024,Mafunzo hayo yamefanyika leo jijini Dar es Salaam yakilenga kuwajengea uwezo wazalishaji, wasambazaji na wauzaji ili kuhakikisha bidhaa…

Read More

LHRC NA NORWAY WASAINI MKATABA MPYA WA MAKUBALIANO

::::::::::::: Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Norway nchini,  wamesaini mkataba mpya wa makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu wenye thamani ya Krone milioni 19 za Norway, sawa na takribani dola milioni 2 za Kimarekani. Makubaliano hayo yamefikiwa katika hafla rasmi iliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya…

Read More

Watoto wanawatazama na kuwafuatilia kina nani?

Dar es Salaam. Watoto ni vioo vidogo vya jamii. Wanachoona ndicho wanachojifunza, na wanachosikia ndicho wanachojaribu kuiga.  Katika zama hizi za mitandao ya kijamii na televisheni, swali kubwa la kujiuliza ni: Watoto wetu wanawatazama na kuwafuatilia kina nani?  Je, wanawafuata watu wanaojenga maadili na kuwapa ndoto za maisha bora, au wanawafuata tu wale wanaoonekana maarufu…

Read More

Nafasi ya elimu ya watu wazima zama za dijitali

Elimu haina mwisho ni methali inayobeba ujumbe kwamba kujifunza ni mchakato wa maisha yote; haijalishi mtu yupo katika hatua ipi ya maisha. Nchini Tanzania, elimu ya watu wazima si jambo jipya, bali ni urithi uliojengwa tangu Taifa likiwa changa kimaendeleo, na leo hii imekuwa nyenzo muhimu katika zama hizi za kidijitali. Hii ndiyo sababu imeifanya elimu…

Read More

Mkuu wa UN analaani mashambulio ya Urusi dhidi ya Ukraine, Mgogoro wa Gaza unaendelea, kulinda raia katika DR Kongo – Maswala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António GuterresAlisema Iliashiria “kuongezeka zaidi” kwa mzozo. Mamlaka yaliripoti majeruhi zaidi ya 80 wa raia, pamoja na mfanyikazi wa kitaifa ambaye sio wa kiserikali (NGO) na mtoto wake wa miezi miwili huko Kyiv. Miji mingine iliyoathiriwa ni pamoja na Zaporizhzhia, Odesa, Chernihiv, Kharkiv, Kremenchuk, Kryvyi Rih na Kherson. Miundombinu ya nishati pia ilipigwa,…

Read More