Mkakati kulinda Ziwa Tanganyika na Victoria

Kigoma. Mamlaka ya Ziwa Tanganyika (LTA) imesaini mkataba wa ushirikiano na Tume ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa jinsi ya kudhibiti rasilimali za maji, kilimo, sekta ya uchukuzi, kuunganisha shughuli za kiuchumi na maisha ya watu wanaozungukwa na maziwa hayo. Akizungumza leo Februari 25, 2026 mjini Kigoma, baada ya…

Read More

Video: Iran Yasema Imewaua Wanajeshi 500 Wa Marekani

Bakari Mahundu March 5, 2026 0 Comments kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani Iran imedai kuwaua zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mapigano yanayoendelea, kwa mujibu wa kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani. Kupitia mtandao wa X, alimshutumu Rais wa Marekani, Donald…

Read More

SHINYANGA KUPAA KIUCHUMI KUPITIA KIWANJA CHA NDEGE: ULEGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shughuli za kibiashara na uwekezaji, hatua itakayosaidia kuimarisha muunganiko wa kiuchumi kati ya mkoa huo na mikoa jirani. Ulega ametoa kauli hiyo mkoani Shinyanga mara baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo na kueleza kuridhishwa na…

Read More

Uwanja wa Mpaka kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More