Walimu 258 wenye ulemavu wapigwa msasa elimu jumuishi

Unguja. Serikali imesema walimu 258 wamepatiwa mafunzo ya elimu jumuishi na walimu wataalamu 92 wameajiriwa kuhakikisha watu wenye ulemavu wakiwemo wanawake wanapata elimu bila vikwazo. Hayo yameelezwa leo Jumatano Februari 25, 2026 na Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, ambaye pia ni Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa…

Read More

Masauni atoa wito kutumia fursa zilizopo kwenye Mazingira

Na; Mwandishi Wetu, Unguja Serikali ya Awamu ya Sita pamoja na mambo mengine imeimarisha zaidi ushirikiano wakimataifa na kutoa mchango mkubwa katika masuala ya kikanda na kimataifa yanayohusumazingira na mabadiliko ya Tabianchi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameyasemahayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari Unguja, Zanzibar Machi…

Read More

Siku tatu ngumu za Sowah Simba

NI takribani wiki moja imepita tangu taarifa za mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah ziripotiwe huku ikielezwa amesimamishwa kutokana na madai ya utovu wa nidhamu. Wakati muda huo ukipita huku kukiwa na ukimya kidogo, mapya yameibuka na kuelezwa uongozi wa klabu hiyo umempa siku…

Read More

SBL Yazindua Rasmi Serengeti Premium Apple, Kinywaji Ambacho Kimetengenezwa Tanzania

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania. Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa, iliyobuniwa…

Read More

Ushindi Wako Unaanzia Meridianbet Leo kwa Early Payout

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako sasa na ubashiri ndani ya Meridianbet. Meridianbet, inaendelea kutoa huduma mpya ya Early Payout, inayolenga kuboresha uzoefu wa wateja wake na kuhakikisha ushindi unapatikana haraka zaidi. Huduma hii ni suluhisho la kipekee kwa wapenzi wa…

Read More

Watatu wafariki dunia kwa kuzama maporomoko ya Kipengele, wamo watoto wawili

Njombe. Watu watatu wakiwamo watoto wawili wamefariki dunia katika maporomoko ya maji ya hifadhi ya Mpanga Kipengele, wilayani Mbarali, mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi mkoani Njombe, Mahamoud Banga, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa limetokea katika hifadhi hiyo iliyopo kata ya Mfumbi. “Hilo tukio nilikuwa silijui, lakini RCO hapa ndiyo ananiambia tukio hilo…

Read More

WIKI YA MAJI: Rais Samia alivyoitoa Wizara Maji kutoka kuwa ya kero na lawama hadi ya faraja

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua au bustani. Mambo yanayohitaji maji ni mengi. Maji haya yanapaswa kusambazwa kutoka katika vyanzo vyake mathalani mito, maziwa na mabwawa hadi…

Read More