Mchuano waanza mabaraza Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vigogo wanne wa Chadema kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa, mchuano sasa umeanza kupamba moto kwenye nafasi za mabaraza ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Nafasi hizo ni katika Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Baraza la Vijana (Bavicha) na Baraza la Wanawake (Bawacha). Baadhi…

Read More

Simba, Yanga zatamba kufanya kweli CAF

BAADA ya droo ya michuano ya Shirikisho la Soka Afrika CAF kuchezeshwa hapa nchini, viongozi wa Simba na Yanga ambazo zinashiriki Ligi ya Mabingwa wamesema ziko tayari kufanya vizuri kwenye mashindano hayo. Rais wa Yanga, Hersi Said amesema maandalizi yanaendelea vizuri na kikosi hicho kipo tayari kupambana na kufanya vizuri. “Tutajiandaa vizuri na tunaamini tutafanya…

Read More

Kesi ya Lissu kuendelea kesho baada ya kukwamishwa na uchaguzi

‎‎Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu iliyoahirishwa kupisha uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, itarejea kesho Jumatatu, Novemba 10, 2025. Kesi hiyo inayosikilizwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam na jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Iringa, Dunstan Ndunguru…

Read More

MAPACHA WAHITAJI MSAADA BAADA YA MAMA YAO KUPATA MARADHI YA MOYO ALIPOJIFUNGUA

Baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Kongowe Kibaha mkoani Pwani wakiwajulia hali watoto mapacha ambao mama yao amepata maradhi ya moyo baada ya kujifungua. ……………………………….. Na Dotto Mwaibale, Dar es Salaam WATOTO Mapacha ambao mama yao amepata changamoto ya maradhi ya moyo muda mfupi tangu alipojifungua wakazi wa Kongowe Kibaha mkoani…

Read More

PROFESA MKUMBO APONGEZA MASHINDANO YA YST, AGUSIA YANAVYOTATUA CHANGAMOTO

  Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewapongeza wanafunzi walioshinda katika mashindano ya wanasayansi vijana marufu Young Scientists Tanzania (YST) kwani yanasaidia kupata teknolojia ambazo zitatumika kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa   utoaji wa tuzo kwa washindi wa YST Profesa Mkumbo…

Read More

Aucho amchambua Mukwala. Ngoma atamba kubeba ubingwa

MABOSI wa Simba wanaendelea kushusha mashine mpya kwa ajili ya kutengeneza kikosi cha msimu ujao, lakini kiungo nyota wa timu hiyo, Fabrice Ngoma ameshindwa kujizuia akisema kwa aina ya wachezaji wanaotua Msimbazi anaona kabisa msimu ujao Wekundu hao wakirejesha mataji waliyoyapoteza kwa Yanga. Ngoma amesema kinachompa jeuri ya kuitabiria Simba kubeba ndoo ilizozitema kwa Yanga…

Read More

MBUNGE KOKA KULETA MAGEUZI YA KUKUZA VIPAJI KWA WASANII

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kukuza na kuibua vipaji vya wasanii wa fani mbali mbali ameweka mikakati kabambe kwa ajili ya kuanzisha kliniki maalumu ambayo itaweza kuwapa fursa vijana waweze kuonyesha vipaji walivyonavyo ili waweze kutambulika zaidi…

Read More