Chaumma yaahidi kuvalia njuga migogoro ya wakulima na wafugaji
Morogoro. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja ameahidi kuwa iwapo chama hicho kitaaminiwa kuunda Serikali, ndani ya siku 100 za kwanza, kitachukua hatua dhidi ya wale aliowaita mapapa wa ardhi waliomilikishwa maeneo makubwa na kusababisha migogoro kwa wananchi. Akihutubia wananchi wa Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro leo Jumatano…