Wito wa Türk Sudan Kusini wa kusitisha mapigano, mgomo wa Ukraine, tahadhari ya chakula Gaza, waliorejea Afghanistan – Masuala ya Ulimwenguni

Katika rufaa ya kusitisha mapigano mara moja, alisema kuwa katika muda wa siku 17 zilizopita, zaidi ya raia 160 wameuawa. Hii inajumuisha angalau 139 mnamo Machi 1 na wapiganaji kutoka kabila la Bul Nuer katika eneo la utawala la Ruweng kaskazini. Raia ‘walirubuni’ hadi vifo vyao Mnamo tarehe 21 Februari, Kamishna Mkuu alidai kwamba vikosi…

Read More

Naibu Waziri Kihenzile Ashiriki Mkutano wa Uchukuzi Afrika Kusini

Bakari Mahundu March 19, 2026 0 Comments Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika Ukumbi wa Gallagher Estate, Johannesburg, Afrika Kusini. Mkutano huo ulifunguliwa na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Sambamba na ushiriki huo, Naibu Waziri pia amehudhuria Mjadala wa Mawaziri wa Uchukuzi ukiwa…

Read More

Wagosi wa kaya wapo tayari Bara

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Ally Ameir amesema kikosi hicho kipo tayari kukabiliana na Tanzania Prisons katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kupigwa Septemba 17, kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Pambano hilo la Wagosi wa Kaya waliowahi kuwa mabingwa wa Ligi Kuu (enzi za Ligi Daraja la Kwanza) mwaka 1988, ni…

Read More

NDIYO MILIONI 20 ZA HESLB ZITAKAVYOSAIDIA KUBORESHA MASOMO YA SAYANSI NCHINI

::::::: Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi zinazofanywa na serikali katika kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla haziwezi kuzaa matunda kama hakutafanyika uwekezaji wa kutosha katika sekta ya elimu. Hii inatokana na ukweli kuwa maarifa, ujuzi na stadi mbalimbali ni nyenzo muhimu zinazoharakisha kufikiwa kwa malengo na mipango ya maendeleo. Kwa kuzingatia ukweli…

Read More