Mradi wa Rostam wa gesi ya kupikia wapata kibali Kenya

Mombasa. Kampuni iliyoanzishwa na mfanyabiashara bilionea na mwekezaji wa viwanda kutoka Tanzania, Rostam Aziz, Taifa Gas Investments SEZ Ltd, imepata nafuu baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi (ELC) nchini Kenya kutupilia mbali kesi iliyopinga ujenzi wa kiwanda chake cha gesi ya kupikia (LPG). Mradi huo wa kiwanda chenye thamani ya Dola 130 milioni za…

Read More

Mkurugenzi wa zamani TPA, wenzake wataka upelelezi dhidi yao uharakishwe

Dar es Salaam. Washtakiwa sita katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA), Madeni Kipande na wenzake, wameiomba Mahakama ielekeze upande wa mashtaka ukamilishe upelelezi kwa kesi hiyo haraka kwa kuwa ni ya muda mrefu. Kipande na wenzake, wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Dola…

Read More

Fadlu: Kijili anachangamoto inayohitaji muda kuisha

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili akisema ni mmoja wa mabeki wa kulia wenye uwezo mkubwa, huku beki huyo akifunguka kwa Mwanaspoti. Simba ipo ugenini kuanzia saa 2:00 usiku kucheza…

Read More

DKT NCHEMBA AWAALIKA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake,…

Read More

Mwanahabari adaiwa kuuawa kwa risasi na wasiojulikana

Dar es Salaam. Mwanahabari, Charles Mwita, anadaiwa kufariki dunia baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mdogo wa marehemu, Nelson Mwita, alipozungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Ijumaa, Januari 17, 2025 amedai kuwa tukio hilo la kushambuliwa kaka yake limetokea jana, saa 1 usiku katika kata ya Sirari, wilayani Tarime, mkoani Mara….

Read More

KONGAMANO LA KUMALIZA MWAKA LA KKKT MIRERANI LAFANA

Na Mwandishi wetu, Mirerani KONGAMANO la kumaliza mwaka la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mirerani Jimbo la Arusha Mashariki Dayosisi ya Kaskazini Kati, mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, limefana kwa waumini kupata chakula cha roho na kwaya mbalimbali kuhudumu. Mchungaji kiongozi wa usharika wa Mirerani, Loishiye Godson Laizer…

Read More

Gamondi lolote linaweza kutokea | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kwa ajili ya kukifundisha kikosi cha APR FC ya Rwanda kwa msimu ujao, baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Rwanda kuachana na Mserbia Darko Novic. Gamondi aliyeifundisha Yanga kwa mafanikio makubwa, kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na…

Read More

Maji Ziwa Victoria kufanyiwa utafiti ubora wake

Mwanza. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) inatarajia kufanya utafiti wa maji ya Ziwa Victoria ili kujua ubora wake yanayotegemewa na watu milioni 45 kwa nchi za Afrika Mashariki. Utafiti huo unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), utaanza hivi karibuni baada ya wataalamu kupewa mafunzo ya siku tatu ya namna ya kuufanya…

Read More