Makamba alivyowaaga Bumbuli, amnadi Samia na mgombea ubunge
Tanga. Ni furaha na huzuni vilitawala wakati aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba aliposimama kwenye jukwaa kuwaafa wananchi hao baada ya kuwatumikia kwa miaka 15. Huzuni na furaha hiyop ulitokana na baadhi ya wananchi kueleza jinsi wanavyokumbuka nyakati za shida na raha wakati Makamba alipokuwa akiwatumikia ndani ya miaka hiyo. Pamoja…