Ukichepuka unaacha kitu kile kile, unatafuta kile kile
Inakuwaje watu wawili waliopendana huamua kusalitiana wakijua wazi kuwa kufanya hivyo kunaweza kuwa na mwisho mbaya licha ya kuwaumiza wenzao?
Inakuwaje watu wawili waliopendana huamua kusalitiana wakijua wazi kuwa kufanya hivyo kunaweza kuwa na mwisho mbaya licha ya kuwaumiza wenzao?
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitangaza Tanzania nchini China kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati, akisema nchi hiyo imejipanga kuwa lango la biashara, uzalishaji na usafirishaji kwa soko la kikanda na bara la Afrika. Akihutubia jukwaa la kibiashara kati ya jimbo la Shandong (Weihai) na…
Last updated Sep 19, 2025 NI Jumamosi nyingine Mungu ametujaalia pumzi ya kuendelea kuishi. Tunakutana kwenye eneo letu la kujidai, eneo la kupeana darasa la uhusiano. Tujifunze mambo mbalimbali ya uhusiano maana bila kujifunza wakati mwingine ni rahisi kuangukia kwenye ‘midomo ya mamba’. Mapenzi ya sasa ni kizungumkuti. Usipokuwa makini unaweza kujikuta kila siku…
Wakati ambapo uhusiano wa kitamaduni wa kupita Atlantiki umedorora zaidi kuliko hapo awali—kwa kiasi kikubwa kutokana na msimamo wa karibu wa kulazimishwa wa mkazi wa sasa wa Ikulu ya White House na mzunguko wake—ni muhimu kwa Ulaya kuanzisha au kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika nyanja zote, ikiwa ni pamoja na katika biashara. Mkopo: EEAS Maoni…
Taifa la Iceland, lililoko katika kanda ya Nordic, limeendelea kushikilia nafasi yake kama nchi yenye amani zaidi duniani kwa mujibu wa ripoti mpya ya Global Peace Index (GPI). Nchi hii ndogo, inayosifika kwa mandhari yake ya kuvutia ikiwemo milipuko ya volkano, chemchemi za maji moto na milima yenye theluji mwaka mzima, imekuwa mfano wa kipekee…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameuagiza uongozi wa Soko la Chuini kuhakikisha unadumisha usafi na nidhamu kwa kusimamia wafanyabiashara wote wafanye shughuli zao ndani ya maeneo rasmi yaliyotengwa. Dkt. Mwinyi alitoa maagizo hayo leo, Septemba 4, 2025, alipofungua rasmi Kituo cha Mabasi na Soko la Kisasa…
Unguja. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdallah amesema kuwa mpango jumuishi wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa miaka mitano, ni nyenzo katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya watoto pamoja na kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akifungua…
Lindi. Wakati matukio ya ajali za moto yanayohusisha watoto yakiendelea kuripotiwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi limesema kuanzia Januari hadi Agosti 2025, kumeripotiwa matukio 10 tofauti. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Alhamisi, Agosti 28, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amesema matukio ya ajali za moto yamekuwa yakijirudia…
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango ameisifu Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kutanua huduma jambo linalosaidia kuongeza ujumuishaji wa kiuchumi kwa wananchi. Mheshimiwa Makamu wa Rais amesema kitendo cha…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodoma chuoni hapo kwenye warsha maalumu inayolenga kuchambua nafasi ya akili unde katika kuimarisha misingi ya utawala bora nchini. Akizungumza mara baada ya kufungua warsha hiyo leo Agosti 25,2025 Naibu Makamu Mkuu…