Profesa Kitila anadi uwekezaji wa kimkakati China

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitangaza Tanzania nchini China kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati, akisema nchi hiyo imejipanga kuwa lango la biashara, uzalishaji na usafirishaji kwa soko la kikanda na bara la Afrika. Akihutubia jukwaa la kibiashara kati ya jimbo la Shandong (Weihai) na…

Read More

Ulaya na Muungano wa Kimataifa – Masuala ya Kimataifa

Wakati ambapo uhusiano wa kitamaduni wa kupita Atlantiki umedorora zaidi kuliko hapo awali—kwa kiasi kikubwa kutokana na msimamo wa karibu wa kulazimishwa wa mkazi wa sasa wa Ikulu ya White House na mzunguko wake—ni muhimu kwa Ulaya kuanzisha au kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika nyanja zote, ikiwa ni pamoja na katika biashara. Mkopo: EEAS Maoni…

Read More

Nyenzo utekelezaji sera ya maendeelo watoto yapatikana

Unguja. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdallah amesema kuwa mpango jumuishi wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa miaka mitano, ni nyenzo katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya watoto pamoja na kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akifungua…

Read More

Matukio ya ajali za moto yaliibua Jeshi la Polisi Lindi

Lindi. Wakati matukio ya ajali za moto yanayohusisha watoto yakiendelea kuripotiwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi limesema kuanzia Januari hadi Agosti 2025, kumeripotiwa matukio 10 tofauti. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Alhamisi, Agosti 28, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amesema matukio ya ajali za moto yamekuwa yakijirudia…

Read More