Mchungaji Tengwa awataka Watanzania kuliombea Taifa

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mchungaji wa Kanisa la Uamsho na Matengenezo ya Kiroho Ulimwenguni, Mwalimu Augustine Tengwa, amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa lao kwa ajili ya amani, upendo, na usalama. Amesema kwa kuzingatia umuhimu wa uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025, ni muhimu kwa kila raia kujitolea kuliombea taifa na kulinda uzalendo wao….

Read More

NLD YAHITIMISHA KAMPENI KWA KISHINDO HANDENI,YAWAOMBA WANANCHI KUWAPA RIDHAA WAGOMBEA WAO ILI WAWAPE MAENDELEO

  Na Oscar Assenga,HANDENI. CHAMA cha The National League For Democracy (NLD) kimehitimisha kampeni kwa wagombea ambao wanawania nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu huku wakiwawataka wananchi kuwapa ridhaa ili waweze kuwapa maendeleo. Akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni wa kuhitimisha kampeni hizo katika viwanja vya soko…

Read More

Pamoja na migogoro, vita vya habari bado vinafanyika, anaonya mkuu wa UNRWA – maswala ya ulimwengu

“Waandishi wa habari wa Palestina wanaendelea kufanya kazi ya kishujaa, kulipa bei nzito; 170 wameuawa hadi leo,” AlisemaUnrwa Kamishna Mkuu Philippe Lazzarini. “Mtiririko wa bure wa habari na ripoti huru ni ufunguo wa ukweli na uwajibikaji wakati wa migogoro.” Katika rufaa yake, Bwana Lazzarini alibaini kuwa katika zaidi ya miezi 18 tangu vita huko Gaza…

Read More

Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusoma kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

Mambo matano mahojiano ya mwisho ya Manji na Mwanaspoti

ALIYEWAHI kuwa mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, alifariki dunia juzi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali moja iliyopo Florida, Marekani alikokuwa akiishi, lakini takriban miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano na Mwanaspoti jijini Dar es Salaam na kufunguka mambo mengi. Mahojiano ya gazeti hili na Manji yaliyolifanyika Aprili 21, mwaka huu ndiyo yaliyokuwa ya mwisho…

Read More

Vita DRC vyaacha kilio kwa wafanyabiashara Tanzania

Dar es Salaam. Mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) yametajwa kuathiri biashara kati ya Tanzania na nchi hiyo huku Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kikiiomba Serikali kuwapatia ulinzi waweze kushusha mizigo na kurudisha magari yaliyokwama nchini humo. Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC…

Read More