Makada sita wa Chadema washikiliwa na Polisi Mbeya
Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia makada sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kupanga kufanya maandamano. Maandamano hayo yalipangwa kufanyika jana, Jumapili, Septemba 7, 2025, nchini kote, ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Mashujaa kimkoa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga, ameliambia…