Waokota taka hatarini kupata magonjwa haya

Dar es Salaam. Kukaa sehemu isiyo na hewa, kutumia dawa za kulevya ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kuwa chanzo cha maambukizo ya ugonjwa wa kifua kikuu, kwa watu wanaojihusisha na shughuli za kuokota taka mijini. Hayo yamebainishwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama na afya kwa waokota taka, iliyoandaliwa na Taasisi ya Uhifadhi na Utunzaji…

Read More

Chama Lako limefundishwa na makocha wangapi?

KUNA timu tatu vinara zilizokimbizana kutimua makocha na kuajiri wengine ndani ya msimu huu wa Ligi Kuu Bara, lakini pia zipo tatu zilizokomaa zikionyesha zitamaliza na makocha wanne walewale zilioanza nao. Katika mabadiliko hayo wapo makocha waliolazimika kuondoshwa kufuatia matokeo mabaya ya vikosi vyao, lakini wengine wakiwa na sababu zao binafsi. Wakati Tabora United ikiongoza…

Read More

VYUO VIKUU VYASHAURIWA KUWEKEZA KWA VIJANA

Vyuo vikuu hapa nchini vimeshauliwa  kuwekeza kwa vijana  kwa kuwapatia mitaji  wakiwa bado wanafunzi  ili waweze kuendeleza mawazo ambayo wanayo  ili  kujiari  na kupunguza  wimbi la  kukosekana kwa ajira pindi wamalizapo masomo pia kuweza kuwaajili vijana wenzao.  Hayo yamebainishwa na umoja  wa wanafunzi ambao walisha wahi kusoma Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo ikiwa na…

Read More

Sababu wanaokwenda kusoma Marekani kupungua

Dar es Salaam. Idadi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu nchini Marekani imeshuka kwa asilimia tano, kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Usafiri na Utalii nchini humo. Kushuka kwa idadi hiyo kunahusishwa na hatua za hivi karibuni za Rais wa Marekani, Donald Trump, kuongeza ukali wa ukaguzi kwa wanafunzi wanaoingia nchini humo kwa ajili…

Read More

Samia kunadi sera Makunduchi  | Mwananchi

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan kesho atafanya mkutano wa kwanza wa kampeni kisiwani Unguja, Zanzibar. Samia ambaye ameteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi hiyo akiwa mwanamke wa kwanza, ataomba kura kwenye ardhi ya Zanzibar ambako ndipo lilipo chimbuko lake. Taarifa…

Read More

Kinyerezi III sasa kuingiza megawati 1,000 gridi ya Taifa

Dar es Salaam. Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme kila siku, Serikali imetangaza kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa gesi cha Kinyerezi III, kitakachozalisha megawati 1,000. Kituo hicho kinajengwa eneo la Kinyerezi, jijini Dar es Salaam. Pia, imeelezwa kuwa mashine zote tisa za kuzalisha umeme katika Bwawa la Kufua…

Read More

Total Energies yawekeza bilioni 17 kusambaza gesi ya kupikia

ILI kurahisisha upatikanaji wa gesi ya kupikia kwa gharama nafuu kwa Watanzania, Kampuni ya Total Energies Tanzania imewekeza kiasi cha dola za Marekani milioni saba (Sh 17 bilioni) katika kusambaza nishati hiyo safi ya kupikia kwenye maeneo mbalimbali ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Mkurugenzi wa Sheria, Uhusiano na…

Read More

Waziri Mhagama, Awasha umeme Chihurungi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho, akiwasha umeme katika kitongoji cha Shuleni kilichopo katika kijiji cha Chihurungi Halmashauri ya Songea. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho,akizungumza na wananchi wa Chihurungi na Parangu wakati wa ziara…

Read More

WAZIRI MKUU MTEULE AAHIDI KUREJESHA HESHIMA YA UTENDAJI KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA

……………. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Alhamisi Novemba 13, 2025 limemthibitisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiahidi kufanya kazi kwa bidii katika kuhakikisha kuwa maono na ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan zinateketekelezwa ili kuwaletea wananchi ustawi na maendeleo kwa miaka mitano…

Read More