SERIKALI YAAHIDI KUIMARISHA UBUNIFU KATIKA SEKTA YA AFYA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar (kushoto) akiwa na Mwandishi wa vitabu vya Anatomia kutoka MUHAS, Profesa David Ngassapa, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Profesa Appolinary Kamuhabwa akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa vitabu vitano vya Anatomia katika hafla…

Read More

Dube afichua siri ya kambi, amtaja Folz

KAMBI ya Yanga inayojiandaa na msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26, imezidi kunoga kwa kocha Romain Folz kuendelea kuwapika mastaa wa timu hiyo, huku akikomalia mechi za kirafiki kujenga utimamu wa wachezaji wake, lakini nyota wa kikosi hicho Prince Dube amevunja ukimya na kuzungumzia vita ya namba kutokana na ongezeko la wachezaji wapya. Dube…

Read More

Wasira: Badala ya kulalamika, fanyeni kazi muwe kama Samia

Musoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka watu wanaohoji sababu za kumsifu mwenyekiti wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kuacha malalamiko na badala yake wajikite katika kufanya mambo yenye tija kwa maendeleo ya wananchi, ili nao wapate sifa. Wasira amesema si vibaya kiongozi kusifiwa pale anapotekeleza majukumu yake kwa ufanisi,…

Read More

Samia aahidi neema kwa wakulima wa tumbaku

Uyui. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa tumbaku mkoani Tabora kulipwa madai yao ya fedha na kwamba Serikali iko kwenye mazungumzo na kampuni mbili zinazodaiwa. Samia amebainisha hayo leo Septemba 11, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Wilaya ya Uyui,…

Read More

Video: Iran Yasema Imewaua Wanajeshi 500 Wa Marekani

Bakari Mahundu March 5, 2026 0 Comments kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani Iran imedai kuwaua zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mapigano yanayoendelea, kwa mujibu wa kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani. Kupitia mtandao wa X, alimshutumu Rais wa Marekani, Donald…

Read More