Uzimaji Intaneti ni ukiukwaji wa haki za binadamu

WANAHARAKATI vijana nchini Tanzania wamesema kitendo cha Serikali kuzima intaneti wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, kimekiuka mikataba ya kimataifa pamoja na Katiba ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar ea Salaam, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki Binadamu na Utawala wa…

Read More

Tanzania yajitosa kusaka suluhu tahadhari ya Marekani

Dar es Saalam. Serikali ya Tanzania imeanza kufanya mashauriano na Marekani ili kufanyia kazi maeneo yanayihitaji kuboreshwa ili raia wake wasizuiwe kuingia Marekani. Uamuzi huo unatoana na Serikali ya Marekani kutoa orodha ya baadhi ya nchi za 36 baadhi yake kutoka barani Afrika ikiwemo Tanzania ambazo raia wake wanaweza kukutana na marufuku kuingia nchini humo….

Read More

TRA Kagera, yawashika mkono watoto wenye mahitaji maalumu

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Mkoa wa Kagera wamekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Sh5 milioni katika kituo cha kulelelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Nusulu Yatima, Kashai Bukoba. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 Meneja wa TRA Mkoa Kagera, Castro John amesema lengo la msaada huo ni kurudisha kwa…

Read More

Hakuna Mtu Kupita Bila Kupingwa – Global Publishers

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimefanya mabadiliko katika mchakato wa upatikanaji wa wagombea kuelekea uchaguzi mkuu, hakuna kupita bila kupingwa kwani zitapigwa kura za ndio na hapana kwa wagombea katika mchakato huo. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla alieleza hayo leo Machi 7,2025 wakati…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA UJUMBE WA MADAKTARI BINGWA KUTOKA HOSPITALI YA MIOT YA INDIA IKULU ZANZIBAR

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Madaktari Bingwa kutoka Hospital ya MIOT  Nchini India ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu Dr.Prithivi Mohandas (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-12-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed…

Read More

RC SIMIYU AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUTUNZA AMANI,KUSIMAMIA HAKI

Na Mwandishi Wetu,Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amesisitiza umuhimu wa wananchi kutunza amani na kama kuna changamoto au kero basi yeye pamoja na viongozi wengine wa mkoa wapo tayari kutafuta majawabu kwa njia inayostahili. Kihongosi ametoa kauli hiyo alipokuwa anazungumza katika Machimbo ya Ikinabushu mkoani Simiyu na kupokelewa na maelfu ya wananchi…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Yaani mkimbinafsisha Bi Mkubwa namfyutua mtu

Mtukufu Dk Rahis, msikivu, mwenye maono, ndoto, uthubutu, ukimya, nk, naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu, rahis, du! A’udhu billahi min ash-shaytaan-ir-rajeem. Nimemsahau Mtume! Naona yule anashangaa. Kwani nazusha? Wangapi, sijui chawa, sijui kunguni, wakianza kuchonga wanafanya hivyo kwa maangamizi yao na mafyatu wao? Nasikia kila mara rahis akisifiwa kuwa na ‘maono’ tena yasiyooneka. Kupitia maono, naona…

Read More

Mapya filamu ya Mpina na urais

Dar es Salaam. Safari ya mgombea urais wa Chama cha ACT – Wazalendo, Luhaga Mpina kugombea nafasi hiyo imeendelea kukumbana na vikwazo baada ya kuwekewa mapingamizi mengine huku chama hicho kikieleza hatua itakazochukua. Kwa mujibu wa ACT-Wazalendo, mapingamizi hayo, yamewekwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wagombea urais wa Chama cha Alliance for African Farmers Party…

Read More

Isanzu, Nathwani, vitani tena Arusha Open

NI vita ya kisasi kati ya Ally Isanzu anayeongoza mbio za ubingwa wa Lina PG Tour na vijana watatu kutoka Arusha; Jay Nathwani, Garv Chadhar na Aliabas Kermali walioichafua rekodi yake ya kutoshindwa katika viwanja vya Arusha Gymkhana. Isanzu anapambana tena na vijana hao katika mashindano ya wazi yajulikanayo kama Arusha Open ambayo yanaanza katika…

Read More

Fyatu anaweza kuzuia kutupiwa-tupiwa viatu

Baada ya mafyatu wa kaya jirani kumfyatua fyatu wao mnene, nimeogopa. Si juzi walimfyatua kwa kiatu kiasi cha kumtia aibu na gadhabu! Sijui hakupata shinikizo la moyo kwa namna alivyoaibishwa mchana kweupe. Japo simsikitikii, amenisaidia kuanza kujihami. Maana mafyatu wangu kwa kuigiza, asikwambie fyatu. Hivyo, nina mikakati ya kuepuka aibu hii. Ni aibu kiasi gani…

Read More