WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA

Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki, Makamu wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) pembezoni mwa Mkutano wa Tisa wa TICAD uliofanyika jijini Yokohama. Mheshimiwa Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA…

Read More

CHAN 2024: Staa Kenya ajifariji

NDOTO ya Kenya kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 imeishia hatua ya robo fainali, lakini kiungo Alpha Onyango ametoa matumaini kwa mashabiki wa timu hiyo. Onyango alibeba tuzo ya mchezaji bora wa mechi ya robo fainali dhidi ya Madagascar na kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya sare…

Read More

Taji la 2025 ni mbio za farasi wawili

MBIO za kusaka taji la ubingwa wa Taifa wa mbio za magari zimezidi kupata sura mpya baada ya bingwa mtetezi, Manveer Birdi kurudi upya na kutishia uongozi wa dereva kutoka Arusha, Gurpal Sandhu. Sandhu ambaye alikuwa mbele ya Manveer Birdi kwa pointi 21 kabla ya kwenda Morogoro alikuwa akiongoza kwa pointi 56, huku Birdi na…

Read More

Konde Boy kucheza Ligi Kuu Misri

KINDA wa Azam FC, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ (18), amejiunga na ENNPI ya Ligi Kuu Misri kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kudumu kwa miaka minane Chamazi. Kinda huyo alijiunga na Azam mwaka 2017 akicheza timu za vijana za U-17 na U-20 kabla ya kupandishwa kikosi cha wakubwa na msimu uliopita aliichezea Fountain Gate…

Read More

Wasaini kanuni za maadili wakikumbushwa kuzingatia wajibu

Unguja. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amezitaka pande tatu zinazohusika katika mchakato wa uchaguzi kuzingatia maelekezo ya kanuni za maadili ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, unafanyika kwa amani, haki na mshikamano. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Agosti 24, 2025, katika ofisi kuu za ZEC Maisara,…

Read More