Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More

Majibu ya upotoshaji kuhusu maendeleo ya Tanzania

Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa wa Uswidi, Benjamin Dousa, tarehe 5 Desemba, alitangaza uamuzi wa Serikali ya Uswidi kufuta misaada kwa nchi tano za Tanzania, Msumbiji, Zimbabwe, Liberia na Bolivia baada ya kupitia vipaumbele vya kisera na changamoto za kiusalama. Hata hivyo, wakati akitoa tangazo hilo, alizisakama nchi hizo kwamba zimekwama katika ujamaa…

Read More

Kocha Tabora Utd aomba muda

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mkenya Francis Kimanzi amesema, anahitaji muda zaidi ili kutengeneza kikosi cha ushindani msimu huu. Kauli ya Kimanzi inajiri baada ya kikosi hicho kulazimishwa sare ya bao 1-1 jana dhidi ya KenGold ikiwa ni ya pili msimu huu katika michezo sita ya Ligi Kuu Bara aliyoiongoza, baada ya kushinda miwili na…

Read More

Mkalama yatangaza mkakati wa kupambana na Homa ya Nyani

  MKUU wa wilaya ya Mkalama, Moses Machali amewataka Wakuu wa Idara, Watumishi wa Afya, Watendaji Kata na Vijiji pamoja na Maafisa Tarafa wilayani Mkalama kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujilinda na ugonjwa wa Homa ya Nyani maarufu kama Mpox. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Wito huo ameutoa leo tarehe 5 Septemba, 2024…

Read More

KABUDI AHAIDI MAENDELEO KILOSA – MICHUZI BLOG

Farida Mangube, Kilosa Morogoro Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwachagua Rais, Mbunge na Madiwani wa CCM ili kuhakikisha kasi ya maendeleo inaongezeka kwa vitendo. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni za ubunge jimboni humo, akibainisha baadhi ya…

Read More

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI YA UAE IKULU ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE.Mhe.Dr.Ali Rashid Alnuaimi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 19-6-2024.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na…

Read More