Mjumbe Maalum wa UN Aipongeza Tanzania kwa Juhudi za Kurejesha Amani na Kuimarisha Taasisi za Kidemokrasia
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait Onanga-Anyanga amewasili nchini kwa ziara akiwa kama Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio Guterres, Katibu Mkuu UN kwenye ziara ya kikazi lengo likiwa ni kukutana na kufanya mazungumzo…