MACHINGA NA BODABODA DAR WAWAONYA CHADEMA

   Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali jijini Dar es Salaam, umetangaza kutoshiriki maandamano yaliyoitishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika Aprili 24, 2025, kuelekea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambako kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, inatarajiwa kusikilizwa. Makamu Mwenyekiti wa Wajasiriamali Wadogo nchini, Steven Lusinde, ametoa tamko…

Read More

Wahitimu wetu wana mawazo mbadala?

Katika nchi yetu jitihada za kuboresha mfumo wa elimu zinaendelea na wengi wetu tunatoa maoni yetu kwa njia mbalimbali. Ni sahihi kwamba tumeanza kufanya mabadiliko kiasi fulani na hii ni hatua nzuri. Leo nataka kufanya tafakuri kuhusu uwezo wa wahitimu wetu kutambua na kuheshimu mawazo tofauti ya watu wengine.  Je, wahitimu wetu wanathamini mawazo mbadala?…

Read More

Mifuko ya wakulimwa wa tumbaku kucheka

Tabora. Baada ya wakulima wa zao la tumbaku kudai kwa muda mrefu fedha za mbolea ya ruzuku walizoahidiwa na serikalini bila mafanikio, hatimaye Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Stephen Wasira amejitosa katika sakata hilo akisema hadi mwishoni mwa mwezi huu watakuwa wamelipwa. Wakulima hao wanaidai serikali Sh13 bilioni ilizowaahidi kuwalipa msimu wa mwaka…

Read More

“Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi Ghuba ya Chwaka”

Unguja. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu wa hifadhi za bahari na rasilimali zake. Ameyasema hayo Januari 23, 2025 Marumbi wakati wa uzinduzi na kukabidhi boti ya doria kwa ajili…

Read More

Coastal Union hali tete | Mwanaspoti

HALI sio shwari ndani ya kikosi cha Coastal Union kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu Bara inayoendelea kuyapata huku kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph Lazaro akieleza ni upepo mbaya wanaokutana nao na sio vinginevyo. Kichapo cha juzi cha bao 1-0, dhidi ya Azam FC kimeifanya timu hiyo kupoteza michezo mitatu…

Read More

Waziri wa maji atii agizo la Rais,afika handeni Tanga

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametii agizo la Rais Samia na kufika eneo la kwamsisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Ambapo baada ya kuona video iliyochapishwa na mwandishi wa habari Mbarouk Khan ikionesha wananchi wakiteseka kwa kukosa maji Rais Samia alitoa maagizo kwa Waziri kushughulikia changamoto hiyo haraka sana Baada ya kufika Waziri aweso…

Read More

Manula afichua siri nzito Simba akimtaja Camara

NI suala la kawaida kwa binadamu yeyote aliye hai maisha yake kuwa na hali ya kupanda na kushuka, inaweza kukutokea kazini, masomoni, kwenye uhusiano au sehemu nyinginezo. Sio rahisi sana kupitia kipindi kigumu kwenye maisha halafu ukarudi katika hali ya mwanzo, kwa sababu kwenye hii muda hautusubiri ila unapopata changamoto lazima mbadala wako upatikane haraka…

Read More