Dosari zasababisha kesi ya ubakaji kwa genge kusikilizwa upya

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imebatilisha na kufuta adhabu ya kifungo cha maisha jela waliyohukumiwa washtakiwa wawili baada ya kutiwa hatiani kwa ubakaji wa genge. Uamuzi wa Mahakama umetokana na kubainika dosari za kisheria, huku ikiamuru kesi irejeshwe Mahakama ya chini na isikilizwe mbele ya hakimu mwingine mwenye mamlaka. Pia imeamuru kuchunguza umri wa…

Read More

Mabingwa sekta ya afya watengewa Sh. 14 bilioni

  WATAALAM 544 wa kada ya afya, katika nyanja ya sita ikiwamo ya watoto wachanga, afya ya akili, magonjwa yasiyoambukiza kama ya moyo na matibabu ya ubongo na mishipa ya fahamu, wametengewa Sh. 14 bilioni kujiendeleza kielimu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Aidha, nyanja nyingine ni ugunduzi wa magonjwa ikiwamo patholojia, huduma za utengamao…

Read More

Chanzo neno hat-trick hiki hapa

MARA nyingi utasikia mchezaji wa kandanda kafunga hat-trick, yaani mabao matatu katika mchezo, lakini mashabiki wengi na hata baadhi ya waandishi wa habari za michezo hawajui asili ya hili neno hat-trick. Mara nyingi waandishi na wachambuzi wa  michezo nchini huzungumzia mchezaji kufunga ‘hat-trick’ katika kandanda na hawaendi mbali zaidi. Tafsiri fupi inayotolewa ni kwamba hat-trick…

Read More

Viongozi bora wanachaguliwa na wananchi waliojiorodhesha

Na. Dennis Gondwe, MWAJA, CHAMWINO VIONGOZI bora wa serikali za mitaa wanachaguliwa na wananchi waliojiandikisha katika orodha ya wapiga kura ili waweze kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kauli hiyo ilitolewa na mkazi wa Mtaa wa Mwaja, Kata ya Chamwino, Josephine Joseph alipoongea na mwandishi wa habari hii muda mfupi baada ya kujiandikisha katika orodha…

Read More

Kupanda kwa kina cha bahari ni nini na kwa nini ni muhimu kwa maisha yetu ya baadaye? – Masuala ya Ulimwenguni

Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu Antonio Guterres amekuwa akitembelea mataifa ya Bahari ya Pasifiki, Tonga na Samoa, ambapo kupanda kwa kina cha bahari imekuwa moja ya masuala muhimu ambayo amekuwa akijadiliana na jamii ambazo amekutana nazo. Tarehe 25 Septemba, viongozi na wataalam wa kimataifa watakusanyika katika Umoja wa Mataifa kujadili namna bora ya kukabiliana na…

Read More