Gymkhana, Lugalo moto utakuwaka | Mwanaspoti

LITAKUWA ni juma lililosheheni shughuli nyingi kama mzinga wa nyuki kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na TPDF Lugalo yatakakofanyika mashindano mawili makubwa ya kuukaribisha mwezi Agosti jijini, Dar es Salaam. Kwenye viwanja vya TPDF Lugalo, mwezi Agosti utakaribishwa na mashindano ya wazi ya KCB yatakayoshirikisha wachezaji kutoka klabu zote nchini na wachezaji wa jinsi zote…

Read More

Viongozi wa Amcos, makarani watakiwa kuzingatia weledi

Ruangwa. Serikali imesema haitasita kumchukulia hatua kali kiongozi yeyote wa chama cha ushirika (Amcos) atakayekwenda kinyume na maadili ya ushirika. Imesema wapo baadhi ambao tayari wamebainika wanashindwa kusimamia mazao ya wakulima na kusababisha kuibiwa hasa kwenye msimu wa ufuta. Akizungumza leo Alhamisi Juni 6, 2024 kwenye Jukwaa la pili la ushirika linalofanyika mjini Ruangwa, Mrajisi…

Read More

Kongamano la China- Afrika kuja na matokeo yenye tija? – DW – 02.09.2024

China imeongeza mahusiano yake na mataifa ya Afrika katika kipindi cha muongo mmoja uliiopita, ikiyamwagia mabilioni ya fedha kupitia mikopo ambayo imeyasaidia mataifa hayo kujenga miundo mbinu. Lakini pia baadhi ya wakati nchi hiyo imeonesha kuibuwa utata kutokana kuzibebesha madeni makubwa nchi nyingi za bara hilo. China imepeleka mamia kwa maelfu ya wananchi wake kufanya…

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kipigo Bukombe

Geita. Mwanamke mmoja, Manila Kiselya (48) Mkazi wa Kitongoji cha Majengo, Kata ya Katente wilayani Bukombe, amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa kipigo na mume wake kutokana na kugoma kumpa fedha alizokopa kwa ajili ya biashara. Inadaiwa mwanamke huyo alikopa fedha kwenye moja ya taasisi za fedha ili kuongeza mtaji wa biashara yake lakini…

Read More

Ahukumiwa miaka mitano jela kwa jaribio kuua

Geita. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Matokeo Petro (34), mkazi wa Bukombe mkoani Geita baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la jaribio la kutaka kumuua Josephat Mhozi (51). Hukumu hiyo imetolewa leo Oktoba 2, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Athuman Matuma baada ya kuridhishwa na hoja zilizotolewa…

Read More

Sababu za mechi ya marudiano kupigwa Zenji

TAARIFA mbaya kwa Simba ni Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeuondoa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa hadi New Amaan, Zanzibar. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi ijayo na awali ilikuwa ilikuwa ipigwe Kwa Mkapa na wenyeji Simba walishaanza kuuza baadhi…

Read More

Zanzibar yataja faida baada ya kubinafsisha huduma hospitali za umma

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema baada ya kubinafsisha baadhi ya huduma katika hospitali zake, nyingi zimeanza kuimarika ikiwemo upatanikanaji wa dawa kwa asiliamia 90. Huduma nyingine zilizoimarika katika hospitali za umma ni usafiri hospitalini, nidhamu ya kazi imeongezeka, chakula cha wagonjwa kinapatikana kwa wakati na ufuaji wa nguo za wagonjwa na uendeshaji…

Read More