Coastal Union bado kidogo wafunge hesabu

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amesema asilimia 70 kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kuanza msimu mpya huku akidai kuwa 30 zilizobaki ni za mbinu. Akizungumza na Mwanaspoti, Ouma ambaye yupo Pemba sambamba na timu hiyo, alisema maandalizi yanakwenda vizuri na wachezaji kwa asilimia kubwa wameingia kwenye mfumo. “Kikosi kinaendelea vizuri na…

Read More

China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

Dar es Salaam. China imetoa fursa ya Watanzania nchini  kupata ufadhili wa kusomeshwa katika Taifa hilo la pili kiuchumi na kwa idadi ya watu duniani. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inayofundisha lugha ya Kichina (CI), Profesa, Zhang Xiaozhen, wakati wa kukabidhi msaada wa vitabu 100…

Read More

Waombolezaji 250,000 waaga mwili wa Papa Francis

Vatican. Waombelezaji takribani 250,000 wameshiriki kuaga mwili wa Papa Francis katika Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, shughuli iliyohitimishwa jana Ijumaa Aprili 25, 2025 kwa kufungwa jeneza lenye mwili wake. Taarifa ya mtandao wa Vatican News inasema ibada ya kufunga jeneza ilifanyika saa 2:00 usiku (saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na…

Read More