Kikokotoo chaendelea kufukuta, Tucta, THTU wakoleza moto

Dodoma. Baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya mkupuo, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limesema limewasilisha maoni kwa Serikali na bado majadiliano yanaendelea. Kanuni mpya za mafao ya mkupuo zilianza kutumia Julai 2022 ambapo mafao hayo kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ni asilimia 33. Tucta…

Read More

Simba yashtuka, kuja kivingine | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha Simba SC inarudi kwa kishindo, klabu hiyo imesema imejipanga kufanya usajili kwa umakini mkubwa ili kutorudia makosa ya nyuma na uongopzi wa Msimbazi umetangaza kuja na sera ya usajili. Kwa misimu mitatu mfululizo Simba imeshindwa kuwa na maajabu katika Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho, huku ikikwamia hatua ya robo fainali ya…

Read More

Bashe alia na zao la chai Tanzania

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo haridhishwi na maendeleo yaliyopo kwenye zao la chai kutokana na mambo yanayoendelea ikiwamo kushuka kwa mapato yatokanayo na mauzo yake nje ya nchi. Bashe ameeleza hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akizindua bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania (TBT) kwenye…

Read More

RAIS AOMBOLEZA KIFO CHA NDUGULILE WAKATI WA KIKAO KAZI JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kumuombea aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile aliyefariki dunia nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu, wakati wa Kikao Kazi kilichofanyika Ikulu ndogo Arusha tarehe 29 Novemba, 2024.  

Read More