JWTZ kutoa matibabu bure kwa siku tano

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha miaka 60 ya kuanzishwa kwake, Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), litatoa huduma za upimaji na matibabu ya afya bila malipo kwa siku tano kuanzia kesho Agosti 26, mwaka huu. Huduma hizo kwa mujibu wa jeshi hilo, zitatolewa bure hadi Agosti 30, mwaka huu na Septemba Mosi, zitatolewa huduma za matibabu…

Read More

Walioshika hatima ya Mpina kurudi mjengoni hawa hapa

Hatima ya mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuendelea kuliwakilisha jimbo hilo iko mikononi mwa wananchi kutokana na vita kali katika jimbo hilo, ambapo mwanasiasa huyo ameonekana kukubalika zaidi kwa wananchi, lakini hakubaliki kwa viongozi wengine wa chama katika mkoa huo. Mpina amekuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2005 na mwishoni mwa Juni 2025,…

Read More

Rais Samia atengua tena sita

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyowaondoa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba na aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan  amefanya utenguzi wa viongozi wa taasisi za mawasiliano nchini. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumanne Julai 23 2024 na Kurugenzi…

Read More

MKURUGENZI WA DIASPORA ATETA NA MKURUGENZI MKUU WA IOM

Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora na Fursa cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Salvator Mbilinyi amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Uhamiaji (IOM) Bw. Maurizio Busatti. Kupitia kikao hicho kilichofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba viongozi hao wamejadili mbinu zakuimarisha…

Read More

SERIKALI KUKUTANA NA WADAU KUJADILI HALI YA MAZINGIRA

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam kuhusu Mkutano wa kujadili tathimini ya hali ya mazingira nchini utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 9-10 Septemba, 2024. Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira na Mabadiliko ya tabianchi kutoka Ofisi ya Makamu wa…

Read More

Mwenyekiti chama cha wawekezaji wa utalii ajiuzulu

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (Zati), Rahim Bhaloo, amejiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miezi mitatu kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi wa miaka mitatu.  Bhaloo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT), akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Agosti 5, 2024, ametaja sababu moja tu iliyomfanya ajiuzulu…

Read More