‘Ripoti za wasiwasi’ zinaendelea kutekwa nyara na kutoweka nchini Syria – maswala ya ulimwengu

“Miezi kumi na moja baada ya kuanguka kwa serikali ya zamani nchini Syria, Tunaendelea kupokea ripoti za wasiwasi juu ya kutekwa nyara na kutoweka kwa kutekelezwa“Msemaji wa Thameen al-Keetan Alisema Katika mkutano wa waandishi wa habari huko Geneva. Syria inapitia mabadiliko ya kisiasa kufuatia kupindua kwa serikali ya Assad mnamo Desemba 2024 na miaka 13…

Read More

Mbunge adai kufanyiwa figisu asirudi bungeni

Dodoma. Homa uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2025 imezidi kutanda ndani ya Bunge baada ya Mbunge wa Kyerwa (CCM), Innocent Bilakwate kudai kuwa kuna kiongozi anahonga pesa kwa mabalozi ili asichaguliwe. Amesema hatua ya kiongozi huyo ambaye pia ni mfanyabiashara wa kahawa imekuja baada ya Bilakwate kupambania maboresho ya bei ya kahawa. Uchaguzi mkuu wa Rais,…

Read More

Mastaa Simba wampitisha Tshabalala | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba huenda wameshtushwa na taarifa za kuondoka kwa beki wa kushoto, Valentin Nouma, aliyeaga mapema tangu juzi kuonyesha hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa mashindano wa 2025-2026, huku nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ akiwa hajapewa mkataba. Tshabalala ni mmoja ya wachezaji waandamizi wa klabu hiyo ambao bado hajapewa mkataba mpya hadi…

Read More

Benki ya NBC Yampongeza Rais Samia kwa Tuzo ya Heshima ya Bunge, Yaahidi Ushirikiano Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imempogeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kufutia tuzo maalum ya heshima aliyotunukiwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuthamini kazi kubwa na nzuri aliyofanya katika kuleta maendeleo nchini. Aidha, benki hiyo imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais Samia kwa…

Read More

TAKUKURU WAPANDISHA UKUSANYAJI MAPATO KIBITI

Na Khadija Kalili, Michuzi TV TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imefanikisha kuongeza makusanyo Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2024. “Tulifanya uzuiaji katika mfumo wa kukusanyaji wa mapato kwa kutumia POS mashine kwa kuongeza makusanyo kutoka 4,632,682.75 kwa wiki hadi Sh.Mil.12,089,760 ambapo kwa mwaka…

Read More

Baada ya TLP na SAU, Mgaywa aibukia ADC kuwania urais

Unguja. Mwanasiasa Mutamwega Mgaywa, baada ya kugombea urais wa Muungano mara mbili bila mafanikio kupitia vyama vya Tanzania Labour Party (TLP) na Chama cha Sauti ya Umma (SAU), sasa ameibuka kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) na tayari amechukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho. Hayo yamesemwa jana Juni 5,…

Read More

TBS YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

AFISA  Rasilimali Watu kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Faidha Nyenzi,akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika  banda la TBS katika  Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma 2024 yanayoendelea Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. MKURUGENZI wa Rasilimali Watu na Utawala kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Viola Masako, akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda…

Read More