DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUONGEZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KATIKA UTOAJI HUDUMA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara. MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakwenda kuongeza matumizi ya teknolojia za kisasa ikiwemo akili unde ili kuimarisha ufanisi katika uzalishaji na utoaji huduma ikiwemo kwenye kilimo. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 25,2025 alipokuwa akihitimisha mkutano wa kampeni katika Mkoa wa Mtwara baada ya kufanya mikutano…

Read More

Mirambo achukua mikoba ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania…

Read More

Bado Watatu – 35 | Mwanaspoti

Raisa alifanya kazi ya ziada kunibembeleza ninyamaze na akanipa moyo kwamba yaliyonitokea ni mitihani tu na kwamba Mungu ataniepushia balaa. Muda wa kulala ulipowadia, Raisa alinikaribisha chumbani mwake. Raisa hakuwa na mume, lakini nilipoingia chumbani mwake niliona suruali ya kiume aina ya jeans imetundikwa kwenye mlango. “Mbona kuna suruali ya kiume humu ndani?” nikamuuliza. “Nina…

Read More