Zaidi ya wagonjwa 600 wahitaji kupandikizwa ini Muhimbili
Dar es Salaam. Zaidi ya wagonjwa 600 wanahitaji kupata huduma ya upandikizaji wa ini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), huku ikitarajia kuanza kutoa huduma hiyo mwishoni mwa mwaka 2025. Mpaka sasa, Muhimbili inatoa rufaa ya matibabu hayo nje ya nchi na gharama za upandikizaji wa ogani hiyo ni kati ya Sh66.4 milioni hadi Sh71.7…