Mbunge ataka sheria ya lazima watoto kutunza wazazi wao

Dodoma. Serikali ya Tanzania haina sheria ya kuwalazimisha watoto kuwatunza wazazi wao pindi watakapozeeka. Hata hivyo, itaendelea kufanya tathmini wakati wa utekelezaji wa sera ya wazee iliyoboreshwa ambayo ina tamko la kuwataka watoto kuwajibika kuwatunza wazazi, na endapo kutakuwa na umuhimu wa kuwepo na sheria maalumu kwa ajili hiyo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri…

Read More

Uzinduzi kituo cha gesi UDSM wapigwa kalenda

Dar es Salaam. Uzinduzi wa kituo cha kujaza gesi kwenye vyombo vya moto eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilichopangwa kuzinduliwa leo, Jumatatu, Februari 3, 2025 umeahirishwa kwa mara nyingine. Meneja Msimamizi wa mradi wa CNG Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Aristides Katto akizungumza na Mwananchi leo amesema kuahirishwa huko…

Read More

Mahakama yapokea vielelezo kesi ya mauaji ya Salome

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Fikiri Kapala na mwenzake Agustino Jumanne wanaodaiwa kumuua Salome Lukanya kwa kumkata na kitu chenye ncha kali. Kesi hiyo namba 2782 ya mwaka 2024 inasikilizwa na Jaji wa Mahakama hiyo, Griffin Mwakapeje. Vielelezo vilivyopokewa ni hati…

Read More

Pamba sasa mambo yameiva | Mwanaspoti

KIPA mkongwe kwenye Ligi Kuu Bara, Shaban Kado amesema maandalizi yanayofanywa na Pamba Jiji ni ishara ya timu hiyo kutaka kufanya vizuri kwenye michuano hiyo na kutotaka mazoea ya timu zinazopanda daraja kushuka mwishoni mwa msimu. Kado ambaye ni msimu wake wa pili Pamba Jiji baada ya kuipandisha Ligi Kuu na kuongezewa mwaka mmoja, alisema…

Read More

Madeleka naye atimkia ACT – Wazalendo, aeleza mwelekeo

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo-Bara, Isihaka Mchinjita amemtangaza Wakili Peter Madeleka kuwa mwanachama mpya aliyejiunga na chama hicho akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Madeleka tayari amekabidhiwa kadi ya uanachama wa chama hicho pamoja na katiba ikiwa ni ishara ya kuwa mwanachama wa chama hicho. Tukio hilo limefanyika jijini…

Read More