Bodi ya mikopo yatoa Sh8.2 trilioni

Dodoma. Jumla ya Sh8.2 trilioni zimeshatolewa mkopo kwa zaidi ya wanufaika 830,000 wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Takwimu hizo zimetolewa jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Ndombo wakati akifungua Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya…

Read More

Zao la kakao lilivyogeuka lulu kwa wananchi Kyela

Mbeya. Wakati wakulima wa kakao mkoani Mbeya wakichekelea bei nzuri ya zao hilo, Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Kyela (Kyecu) kimesema hakijafikia kiwango cha uzalishaji kinacholengwa kutokana na mahitaji makubwa ya bidhaa hiyo duniani. Hii ni baada ya kuwapo kwa bei mpya ya kako inayoonekana kuchochea kilimo hicho ambacho kinatajwa kuwa cha kwanza wilayani Kyela…

Read More

Wadau na wabunge watoa ya moyoni Ilani ya CCM

Dodoma. Wadau na wabunge wamesema kuwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2025/30, iliyopitishwa na Mkutano Mkuu wa chama hicho, imejibu masuala mengi muhimu ambayo Watanzania walikuwa wakingojea kwa hamu, yakiwemo mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Akizungumza leo, Ijumaa Mei 30, 2025, Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo…

Read More

Siku tano za Makalla kupoza joto la uchaguzi CCM Dar

Dar  es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametumia ziara ya siku tano Mkoa Dar es Salaam kufanya mikutano ya ndani. Hiyo ilikuwa ziara ya tatu ya Makalla kuifanya katika mkoa huo tangu kuchaguliwa kuwa mlezi wa mkoa huo kichama, ya kwanza aliifanya kwenye maandalizi ya kuelekea…

Read More

Mambo Manne Usiyoyajua Kuhusu mchekeshaji Leonardo

Ni wazi kuwa kwa sasa Leonardo almaarufu kama Laughs On Leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri sana kutoka nchini Tanzania Ucheshi wake pindi akiwa anatumbuiza kwenye jukwaa la Cheka Tu pamoja na video clips zake za mtandaoni zimepelekea kukuza jina lake ambapo kufikia sasa ameshakusanya zaidi ya followers Laki Tano kwenye ukurasa wake wa…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga Ligi Kuu

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More