Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Usalama waimarishwa Kwa Mkapa | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

LICHA ya uchache wa mashabiki kabla ya mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa saa 11:00 jioni, usalama umeimarishwa kila kona.

Read More
Habari

Mfumo dume unavyowatesa wanawake walima mpunga Mbarali

April 20, 2024 Admin

Mbeya. Wanawake wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wanajishughulisha na kilimo cha mpunga wanakabiliwa na changamoto kubwa ya mfumo dume unaozua migogoro inayowasababishia vipigo na

Read More
Michezo

Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

April 20, 2024 Admin

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi,

Read More
Michezo

Neema ya Kariakoo Dabi kiuchumi

April 20, 2024 Admin

Achana na burudani wanayopata mashabiki wa soka nchini inapokuja Dabi ya Kariakoo, lakini ukweli, pambano hilo la watani wa jadi nchini, limekuwa na neema kubwa

Read More
Michezo

Jumamosi yaibeba Yanga Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

MASHABIKI wa Yanga na Simba tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa

Read More
Michezo

Singida FG, Mashujaa vita ya matumaini

April 20, 2024 Admin

KESHO Jumapili Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu za matumaini ya kubaki Ligi Kuu Bara na kumaliza nafasi

Read More
Habari

Watanzania watakiwa kuzingatia ubora wa bidhaa

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuzingatia ubora wanaponunua bidhaa, ili kuepuka hasara kwa kununua bidhaa zisizodumu na zinazotumia nishati nyingi.  Hayo yameelezwa jana Aprili 19,

Read More
Burudani

Mtangazaji wa Clouds Gardner afariki, mastaa wamlilia

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kufuatia taarifa ya kicho cha mtangazaji maarufu wa Kampuni ya Clouds Media, Gardner G Habash, watu mbalimbali wakiwemo wasanii na watu wanaomfahamu

Read More
Habari

NCCR yasema uchumi wake hauruhusu kufanya mikutano

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha NCCR Mageuzi wametakiwa kurudi majimboni mwao ili kuwahamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kukijenga chama.

Read More
Habari

Waziri Mkuu kuongoza majaribio SGR Dar-Dodoma Aprili 21

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuongoza safari ya majaribio ya treni ya reli ya kisasa (SGR) itakayofanya safari kutoka Dar es Salaam

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,671 3,672 3,673 … 3,688 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.