Uongozi Dar es Salaam watakiwa kudhibiti malori kwenye makazi

Pwani. Huenda foleni ya malori ndani ya Jiji la Dar es Salaam ikawa inaelekea ukingoni baada ya bandari ya Kwala kuanza kuhudumia mizigo inayoshushwa bandari. Kutokana na hilo, Serikali imeutaka uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha unadhibiti malori yanayoegeshwa kiholela ili kupunguza adha inayoepukika. Hiyo ni baada ya kontena 700 kuwa tayari zimehudumiwa…

Read More

Tanzania yaiomba EU kuongeza muda mradi uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa Umoja wa Ulaya (EU), kufikiria mpango wa kuongeza muda wa utekelezaji wa mradi wa uongezaji mnyororo wa thamani katika sekta ya uchumi wa buluu (Fish4ACP) nchini humo. Mradi huo unaotekelezwa katika mataifa 12 ya Afrika, Karibea na Pasifiki, unahusisha uongezaji mnyororo wa thamani wa sekta ya…

Read More

UDOM KIDEDEA MASHINDANO YA TEHAMA YA HUAWEI TANZANIA.

Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian, akikabishi zawadi kwa mshindi wa Kike wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Bi. Pulcheria Sumia. Kushoto ni mshindi mwingine wa Kike kutoka Taasisi ya Technolojia Dar Es Salaam (DIT), Bi. Jokha Amin. ……………. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeshinda Mashindano ya Kitaifa ya TEHAMA ya HUAWEI Tanzania kwa…

Read More

Wakazi wachekelea kukamilika mradi wa maji Songwe

Songwe. Baada ya shida ya miaka mingi, wakazi wa Kijiji cha Iseche wilayani Songwe wameanza kupumua baada ya mradi wa majisafi na salama uliokuwa ukijengwa katika eneo hilo kukamilika. Baadhi ya wanawake kijijini hapo wanasema kero ya maji ilikuwa ikiteteresha ndoa zao, kukamilika kwa mradi huo. Wamesema walikuwa wakitumia muda mwingi na kusaka maji kiasi…

Read More

Mapya yaibuka kwa mastaa Singida BS, Jaji atoa tamko

Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), ili kujibu madai dhidi yao katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka. Amri hiyo umetolewa baada ya wachezaji hao, Emmanuel Keyekeh, raia wa Ghana, Josephat Bada (Ivory Coast) na Muhamed Camara (Guinea)…

Read More

VIDEO: CCM yakoleza moto wa fedha chafu Chadema

Dar es Salaam. Ikiwa imepita takribani wiki moja tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kudai kuna fedha zimemwagwa kuvuruga uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kukichunguza chama hicho. Mbali na Ofisi ya Msajili, CCM pia wameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana…

Read More

Hadi watu milioni moja wanapanga kurudi nyumbani kwa kukata tamaa – maswala ya ulimwengu

Kulingana na shirika la wakimbizi la UN, UNHCRWatu 600,000 wanaweza kuwa safarini katika miezi sita ijayo, kulingana na uchunguzi wake wa hivi karibuni. Msemaji wa UNHCR Celine Schmitt alisema Ijumaa kwamba watu watahitaji “makazi, kazi, shule, hospitali, umeme na maji safi” – yote ambayo yanakosekana baada ya miaka 14 ya mzozo wa raia. Alielezea kukutana…

Read More

Mikoa hii ijiandae kwa mvua kwa saa 48

Dar es Salaam. Wakati mvua iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam ikisababisha adha kwa wananchi, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Aprili 14, 2025 imetoa angalizo la mvua kubwa kwa siku mbili katika mikoa sita nchini. Taarifa hiyo inakuja wakati ambapo usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Aprili 14, 2025…

Read More