
CMSA:UWEKEZAJI MASOKO YA MITAJI WAONGEZEKA
Na Mwandishi wetu,Dodoma MENEJA Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Charles Shirima amesema uwekezaji katika kampuni za umma umeongezeka kwa kiwango cha juu tofauti na hapo awali. Ameeleza hayo wakati akizungumza na wananchi pamoja na waandishi wa habari kwenye maonyesho ya nanenane kwa kubainisha kuwa wamekuja kutoa…