Viongozi wa Serikali waonya vurugu za uchaguzi

Dar/Mikoani. Viongozi wakuu wa nchi katika ujumbe wao wa Pasaka, wamezungumzia uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, wakiwataka wananchi kujitokeza kushiriki na kuepuka vurugu. Mbali na hayo, wamewakataka kutafakari kuhusu upendo, haki na wajibu. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi, hususani kina mama kuwaongoza watoto wao, hasa vijana kuacha tabia ya…

Read More

SERIKALI KUTUNGA KANUNI KUONDOA MIGONGANO YA WENYE MADUARA NA WAMILIKI WA LESENI

-Eneo la Uwekezaji wa msaada wa kiufundi(Technical Support) kutengenezewa Kanuni -Leseni za vikundi zilizotolewa na serikali kutouzwa bila ridhaa ya Tume ya Madini SERIKALI ipo mbioni kutunga kanuni za kushughulikia migogoro kati ya wamiliki wa leseni na wenye maduara. Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde mkoani Shinyanga katika Kijiji cha Mandu, machimbo ya…

Read More

Aliyekuwa Rais wa Ufilipino akamatwa kwa tuhuma za mauaji

Manila. Aliyekuwa Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, amekamatwa leo  Jumanne Machi 11, 2025 mjini Manila kwa hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kwa mujibu wa The New York Times, Duterte amekamatwa baada ya Mahakama ya ICC kutoa waranti inayomtuhumu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu katika vita vyake vya dawa za kulevya,  ambapo mashirika…

Read More

Ni sanamu! Clara afunguka kupiga picha na Ronaldo

NYOTA wa Tanzania, Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr nchini Saudia alipachika picha akiwa pamoja na Staa wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo iliyoacha maswali mengi kwa mashabiki wake wengine wakidhani imehariria hapa anajibu. Mapema leo alikuwa mubashara kwenye mtandao wa instagram na kujibu ukweli wa picha hiyo baada ya shabiki mmoja…

Read More

Moallin ajiuzulu KMC, safari ya Sauzi yawadia

KOCHA Mkuu wa KMC, Abdihamid Moallin amejiuzulu nafasi hiyo ndani ya klabu hiyo huku ikielezwa anakaribia kujiunga na kikosi cha TS Galaxy ya Afrika Kusini ambacho kimeonyesha nia ya kumuhitaji baada ya kuondoka kwa Mjerumani, Sead Ramovic. Mwanaspoti liliripoti juu ya taarifa za Wasauzi hao kumuhitaji Moallin ambaye ameiongoza KMC katika michezo 11 ya Ligi…

Read More