Sheikh Ponda atoa sababu kujiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ametangaza kujiunga na chama cha ACT-Wazaendo akisema ameona umuhimu wa kuchangia nguvu katika operesheni ya ACT Wazalendo ya ‘Linda Demokrasia’, inayolenga kurejesha haki, uwazi na usawa katika michakato ya uchaguzi nchini Tanzania. Amesema anajiunga na chama hicho lengo ni kuhakikisha:…

Read More

Dk Mpango avunja ukimya kuachia madaraka

Arusha. Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amevunja ukimya na kueleza sababu za kuomba kupumzika nafasi hiyo ya ikiwa ni pamoja na kufanya kazi serikalini kwa muda mrefu na sasa anawaachia vijana wenye uwezo kubeba mzigo wa kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan. Dk Mpango si wa kwanza kufikia uamuzi kama huo, mwaka 1990 aliyekuwa Rais…

Read More

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

MWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura katika uchaguzi mkuu ambao unaweza kuleta mabadiliko makubwa zaidi ya kisiasa katika miongo mitatu, huku chama tawala cha African National Congress (ANC) kikiwa katika hatari ya kupoteza wingi wake wa wabunge. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wameandikishwa kwenye daftari la…

Read More

Wahi Kwa Mkapa uione Taifa Stars bure

CHAN 2024 inaendelea leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, grupu B likicheza mechi zake za pili. Mchezo wa mapema utapigwa kuanzia saa 11:00 Jioni ukizihusisha timu za Taifa za Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati huku mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Mauritania ukitarajiwa kuanza saa 2:00 usiku. Kupitia ukurasa rasmi wa Shirikisho…

Read More

Anasa zamponza Rais mstaafu Georgia, atupwa jela miaka tisa

Thibilisi. Rais wa zamani wa Georgia, Mikhail Saakashvili amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa ubadhirifu wa mali ya Umma. Mamlaka za Georgia zilimkamata Saakashvili Oktoba 2021 alipoingia kwa siri nchini humo akitokea uhamishoni Ukraine wakati wa uchaguzi na kumshutumu rais huyo wa zamani kwa matumizi mabaya ya madaraka, ubadhirifu wa fedha na makosa mengine…

Read More