TBS yawafikia wadau wa viwango Morogoro

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kanda ya Mashariki, limewataka wajasiriamali, wafanyabiasha,wazalishaji na watumiaji wa bidhaa mbalimbali kuzingatia alama ya ubora inayotolewa na shirika hilo ili kuhakikisha watumiaji wantumia bidhaa salama na zenye ubora. Hayo yameelezwa na kaimu meneja wa shirika hilo kanda ya mashariki Franses mapunda kwenye maonyesho ya wakulima ya nane nane kanda ya…

Read More

Watahiniwa 1,230,780 kufanya mtihani kumaliza elimu ya msingi kesho

Dar es Salaam. Wakati watahiniwa 1,230,780 wakitarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE) kesho, Baraza la Taifa la Mtihani (Necta) limewatahadharisha watahiniwa wanaopanga kufanya udanganyifu, watafutiwa matokeo. Mtihani huo unaotarajiwa kufanyika kwa siku mbili nchi nzima, utaanza kesho Septemba 11 na kumalizika Septemba 12, 2024. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya…

Read More

Beki Mcolombia Azam amwibua Morris

NAHODHA wa zamani wa Azam FC, Aggrey Morris ameshindwa kujizuia kwa kuwapa tano mabosi wa klabu kwa kufanya usajili mzuri ulioibeba timu hiyo katika msimu wa mashindano wa 2023-2024 huku akimtaka beki Mcolombia, Yeison Fuentes (22) aliyemchambua na kusema amekamilika kwa kila idara. Azam ilimsajili beki huyo wa kati kwa mkataba wa miaka mitatu, akitokea…

Read More

Shindano la Expanse Tournament ni hatari Januari hii

FUNGUA mwaka kibabe na Meridianbet kupitia shindano kubwa la kibabe la michuano ya Expanse Kasino ambapo utaweza kujishindia kitita cha kutosha kupitia shindano hili ambalo litahusisha michezo ya kasino ambayo itadumu kwa siku kumi. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja…

Read More

Rufaa ya wafungwa wa Yemen, athari za Kimbunga Yagi, kupunguza masaibu ya wanaotafuta hifadhi, ongezeko la pesa taslimu – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya wafanyakazi 50 kutoka Umoja wa Mataifa, mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na kitaifa, mashirika ya kiraia, na balozi za kidiplomasia, wanashikiliwa na de facto Mamlaka ya Houthi katika mji mkuu, Sana'a. Kwa kuongezea, wafanyikazi wanne wa UN wamezuiliwa tangu 2021 na 2023. Kulinda wafanyakazi wa misaada “Mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa kibinadamu,…

Read More

Ubomoaji holela Kariakoo unavyoathiri kiafya wananchi

Dar es Salaam. Wakati ubomoaji usiofuata sheria ukikoleza hatari za kiusalama katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, afya za wananchi wanaofanya shughuli zao au kwenda maeneo hayo nazo ziko shakani. Kutokana na mazingira ya eneo la Kariakoo lenye maghorofa kila mtaa, wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyopo katikati, inakuwa ngumu linaloathiri afya za wananchi….

Read More