Sababu Ninja kuachana na FC Lupopo hii hapa

BEKI Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema sababu ya kuvunja mkataba wa miezi sita uliokuwa umebaki katika klabu aliyokuwa anaichezea ya FC Lupopo ya DR Congo ni maslahi. Ninja alijiunga na klabu hiyo msimu huu akitokea Lubumbashi Sports ya nchini humo ambayo aliichezea kwa msimu mmoja kati ya miwili aliyokuwa amesaini ambapo sababu ya kuachana nayo…

Read More

Heche alivyopokelewa kijijini kwao, matumaini ya vijana

Tarime. Maelfu ya wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na wakazi wa Tarime na maeneo jirani wamekusanyika nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche kumpongeza kwa kuchaguliwa kushika wadhifa huo. Heche alichaguliwa Januari 21, mwaka huu akiwashinda wenzake, Matharo Gekul aliyepata kura 49 na Ezekia Wenje aliyepata…

Read More

‘Nizalie nitakuoa’ neno lililozima ndoto za wengi

Dar es Salaam. Unaweza kujiona mwenye kismati na bahati ya kipekee katika dunia hii yenye wanawake zaidi ya bilioni 4, kwa wewe kuambiwa neno ‘nizalie nitakuoa’ na mwanamume unayempenda. Neno hili huja na sura ya unyenyekevu na upole, huku nia mbaya ikijificha kwenye kivuli cha upendo na mapenzi ya dhati. Maswali binafsi kama kwa nini…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Naupenda uzee wa Saido

UZEE wa Saido Ntibazonkiza ni ‘uzee wa busara’. Utu uzima dawa. Ni ile maana halisi ya hakuna kijiji kinachokosa wazee. Ligi yetu bado ina maajabu kidogo. Wachezaji wazee wanacheza vizuri na wanafunga sana kuliko vijana. Ni kweli soka letu linakua na tumeanza kupata wachezaji wengi bora licha ya kutoondoa ukweli, umri sio kigezo cha kumzuia…

Read More

Hili la Ngorongoro halijaisha, tumefunika kombe

Ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ambayo ni endelevu, ni lazima tujifunze kuukubali ukweli halisi jinsi ulivyo na kukitokea tatizo, tukabiliane nao kwa kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa tatizo hilo na sio kufunika kombe mwanaharamu apite. Ngorongoro kuna tatizo, Serikali ilitaka kulitatua kibabe, Wamasai wakagoma, alichofanya Rais Samia Suluhu Hassan ni kufunika kombe tu, lakini…

Read More

Jamii yang’atwa sikio kuwakumbuka wenye mahitaji

Dar es Salaam. Kampuni, taasisi na wadau nchini wamekumbushwa kuwa na desturi ya kurudisha kwa jamii,  ili kurejesha tabasamu kwa watu wenye mahitaji wakiwemo wagonjwa, watoto yatima na wazee wasiojiweza. Kundi hilo ambalo mbali na mahitaji ya chakula, mavazi, sabuni, mafuta linahitaji pia furaha inayotokana na kutembelewa pamoja na kushikwa mkono na watu wanaowazunguka. Rai…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUKUZA SEKTA YA UTALII KUPITIA NaPA

Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha. Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema miongoni mwa maeneo ya vipaumbele vya Wizara chini ya Mfumo wa Anwani za Makazi ni kushiriki kikamilifu katika kukuza Sekta ya Utalii nchini. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Septemba, 2024 na Bw. Mulembwa Munaku, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa…

Read More

Alichokisema Jaji Warioba miaka 61 ya Muungano

Aprili 26, kila mwaka Watanzania husherehekea Sikukuu ya Muungano, mwaka huu ukifikisha miaka 61. Muungano huo wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulizaa nchi ya Tanzania, Aprili 26, 1964. Wakati Watanzania wakiadhimisha miaka 61, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameielezea miaka 61 ya Muungano huo, ulipotoka na ulipo hivi sasa. Anasema katika miaka 61, Muungano…

Read More