WIZARA YA ARDHI KURASIMISHA MITAA 13 KONDOA MJI

Na Munir Shemweta, WANMM KONDOA Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatarajia kutekeleza mradi wa urasimishaji makazi holela kwenye mitaa 13 ya Mji wa Kondoa mkoa wa Dodoma. Hayo yamebainishwa tarehe 21 Agosti 2024 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda wakati wa ziara ya Makamu wa…

Read More

IMANI POTOFU ZINAVYO KWAMISHA KUFIKIWA USAWA WA KIJINSIA

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi maalumu Dkt. Dorothy Gwajima. Kulia ni mwandishi wa Makala hii akifanya mahojiano kuhusu usawa wa kijinsia. Kushoto ni mwandishi wa Makala hii akizungumza na Jeneroza Tunati. ………………… Na Daniel Limbe,Chato  “MAENDELEO hayawezekani bila mabadiliko ya kifikra, na wale ambao hawawezi kubadilika namna wanayofikiri hawawezi kubadili kitu…

Read More

VETA YALETA NEEMA KWA WAFANYAKAZI MAJUMBANI

*Wafanyakazi 700 wapata mafunzo vyuo vya VETA Na Mwandishi Wetu Wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi mahususi kwa kazi zao. Muwezeshaji wa mradi huo, Debora Mwageni amessema mafunzo hayo yanamwezesha mfanyakazi wa ndani kuwa na…

Read More

JAJI MKUU AIPONGEZA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)

• Ahidi Kuitetea Kupata Bajeti Wezeshi Kutekeleza Majukumu Yake. Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma ameipongeza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake karibu na wananchi. Pongezi hizo amezitoa alipotembelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na taasisi zake katika maonesho ya sabasaba yanayoendelea…

Read More

Mvua kubwa na mafuriko huko Asia Kusini yanahatarisha mamilioni ya watoto, UNICEF yaonya – Masuala ya Ulimwenguni

“Tuko katikati ya msimu wa masika, bado mvua, uharibifu na uharibifu umekuwa mbaya,” Sanjay Wijesekera, UNICEF Mkurugenzi wa Mkoa wa Asia Kusini, alisema katika taarifa ya habari. Nchini Nepal, watu 109, wakiwemo watoto, wamefariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi msimu huu wa mvua za masika. Hii ni pamoja na watu 65 waliokuwa kwenye…

Read More