MUHEZA YAIGARAGAZA BUMBULI MAGOLI 3-2 MICHEZO SHIMISEMITA

Na Oscar Assenga,TANGA TIMU ya Mpira wa Miguu ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imebamiza Halmashauri ya wilaya ya Bumbuli mabao 3-2 katika michuano ya Shirikisho la Michezo la Mamlaka za Serikali za Mitaa kaika mchezo uliochezwa kwenye viwanja vya Shule ya Ufundi Tanga. Shirikisho hili la Michezo linahusisha watumishi waliopo katika Mamlaka za Serikali…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 1,000 kupelekwa India, China, Malaysia na Uturuki wakiwa Mabalozi wa Utalii na Uwekezaji wa Tanzania”

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi na imeanza kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kuwatumia wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kutangaza utalii. Hayo yalisemwa jana jijjini Dar es Saaalaam na Mkurugenzi Mkuu wa (GEL),…

Read More

Sababu, athari ya ubachela kwenye ndoa

Dar es Salaam. “Kwa takribani miaka mitatu sasa maisha ninayoishi na mume wangu ni kama hatupo ndani ya ndoa. Tunaishi nyumba moja na kulala katika kitanda kimoja lakini kila mtu na maisha yake. “Sehemu pekee ambayo inatukutanisha na kuzungumza ni katika masuala yanayohusu malezi ya watoto na majukumu ya familia.Mmoja wetu anaweza akapata changamoto na…

Read More

Coca-Cola Kwanza hosts Minister of Industry and Trade

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 – Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade, Dr Seleman Said Jafo (MP) at its Dar es Salaam facility. The visit provided a valuable opportunity to showcase the company’s commitment to doing business the right way – guided by integrity, shared value creation, and…

Read More

Ateba ndio basi Simba, apewa miwili Iraq

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Leonel Ateba sasa ni rasmi hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao, baada ya kutua klabu ya Al – Shorta ya Iraq iliyompa mkataba wa miaka miwili akitokea Simba na anatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Ateba aliyeitukikia Simba kwa mkataba wa mwaka mmoja na kuifungia mabao 13 msimu…

Read More

MAHUBIRI: Usikubali kupokea taarifa mbaya

Bwana Yesu asifiwe naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Dar es salaam Karibu kwenye mahubiri ya siku ya Leo yenye kichwa kinachosema ‘Namna amani ya Kristo inavyofanya kazi kwenye maisha ya mtu” Kila mwanadamu hutamani kuishi maisha ya utulivu, usalama na furaha ya kweli. Lakini mara nyingi dunia hii hujaa misukosuko, hofu na mashaka. Watu wengi…

Read More

Hiki hapa chanzo valvu za moyo kuharibika

Dar es Salaam. Wazazi wamehimizwa kuwatibu watoto wanaopata ugonjwa wa mafindofindo (tonsillitis) mapema na kwa wakati ili kuwaepusha na hatari ya kupata magonjwa ya valvu za moyo. Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Salehe Mwinchete wakati wa kambi  ya siku nne ya upasuaji wa moyo iliyokuwa ikifanywa…

Read More