Moja kati ya nne bado haina ufikiaji wa maji salama ya kunywa na usafi wa mazingira – maswala ya ulimwengu

ripoti Kutoka kwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na wakala wa watoto (UNICEF) Imetolewa kama Wiki ya Maji Duniani inapoendelea, inaonyesha mapungufu yanayoendelea katika upatikanaji, na jamii zilizo hatarini zinazokabiliwa na utofauti mkubwa. Watu wapatao bilioni 2.1 bado hawana ufikiaji wa maji ya kunywa yanayosimamiwa salama, wakati milioni 106 ulimwenguni wanalazimika kutegemea vyanzo vya uso…

Read More

Magereza Mbeya walivyofanikiwa kuacha kuni, mkaa

Mbeya. Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya limesema tangu kuanza matumizi ya nishati safi, limepata unafuu wa kupunguza gharama, kuokoa muda na kutoa mwanga katika uhifadhi na utunzaji mazingira, huku likieleza mkakati wa kuwafikia wananchi kuondokana na nishati chafu ya kupikia. Mkuu wa Gereza la Ruanda Mbeya, Christopher Fungo anasema tangu mwaka jana, gereza hilo…

Read More

Kihongosi aanza ziara Shinyanga, ataja mambo matatu

Shinyanga. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja mambo matatu atakayoyafanya katika ziara yake ya siku nne mkoani Shinyanga iliyoanza leo Jumatano, Machi 4, 2026. Mambo hayo ni uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo ambayo Serikali imepeleka fedha na jambo jingine ni kusikiliza changamoto za wananchi. …

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More