Mungu anapenda ufanikiwe kiuchumi | Mwananchi

Katika Neno takatifu la Mungu tunalotumia kwa lugha ya sasa, hakuna mahali neno ‘uchumi’ limetajwa popote. Lakini kutokana na tafsiri halisi ya uchumi, tuliyojifunza hapo juu, uchumi umetajwa katika Biblia Takatifu kwa namna nyingi na kwa mara nyingi. Mungu ndiye muumba wa mali na rasilimali zote za dunia, na anataka mimi na wewe kama watoto…

Read More

Rais Samia akabidhi Muungano kwa vijana nchini

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uimara na uendelevu wa Muungano uko mikononi mwa vijana. Kutokana na hilo, amesema: “Ninawasihi sana vijana wote wa Tanzania muwe walinzi wa Muungano wetu. Kumbukeni kuwa Muungano huu ni urithi na tunu ya Taifa letu, na ni tunu ya Afrika kwa ujumla.” Samia amesema hayo jana alipohutubia…

Read More

Nini hatma ya masharti magumu ya Rais Putin kwa Ukraine

Rais wa Russia, Vladimir Putin, ameeleza kuwa anakubaliana na wazo la kusitisha mapigano nchini Ukraine, lakini ameweka masharti magumu kwa ajili ya amani ya kudumu.  Hii inakuja baada ya Ukraine kukubali mpango wa kusitisha mapigano wa siku 30 kufuatia mazungumzo na Marekani.  Hata hivyo, masharti aliyoweka Putin yameleta utata mkubwa, huku Rais wa Ukraine, Volodymyr…

Read More

VIDEO: Kibano kwa wahubiri wa miujiza, fedha

Dar es Salaam. Serikali imevunja ukimya kuhusu uwepo wa viongozi wa dini nchini wasiozingatia misingi ya sheria na maandiko ya vitabu vitakatifu, badala yake wanawatumia waumini kama mtaji wa kujilimbikizia mali, huku wakiwapa mafundisho yasiyofaa. Kutokana na hayo, Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Ofisi ya Msajili wa…

Read More

DKT. NATU MWAMBA ATETA NA TIMU YA BENKI YA DUNIA

Na. Joseph Mahumi, WF, Washington Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Timu ya Benki ya Dunia Tanzania, ikiongozwa na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete, kuhusu Ushirikiano wa Maendeleo kati ya Tanzania na Benki hiyo hususan Utekelezaji wa miradi inayotekelezwa nchini, pamoja…

Read More

WAAMBIENI WANANCHI MADHARA YA KUCHAGUA VIONGOZI WANAOTOA RUSHWA -MHE.SIMBACHAWENE 

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Viongozi wa TAKUKURU (hawapo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha viongozi hao kilichofanyika Kibaha mkoani Pwani katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere. Sehemu ya Viongozi wa TAKUKURU wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…

Read More

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali kuu, Bunge, mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na taasisi 65 wameshahamia Dodoma na wanaendelea kutekeleza majukumu yao wakiwa makao makuu ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imekuja baada ya zoezi la kuhamisha makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusababisha ajali Moro

Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro Alex Mkama amesema wanamshikilia dereva wa basi la Shabiby namba T341 EEU, Said Malugula mkazi wa Dar es salaam baada ya kusababisha ajali iliyotokea saa 12:20 asubuhi ya leo Mei 25,2024 eneo la Kihonda kwa Chambo. Gari hilo lilikuwa likitokea Morogoro kuelekea mkoani Dodoma.Akizungumza na Mwananchi…

Read More