Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Machupa atoa neno Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa, ameizungumzia Kariakoo Dabi ya Aprili 20, anaiona itaamuliwa na ukomavu na mbinu za mastaa na makocha wa klabu

Read More
Habari

Ajali za helikopta zinavyomaliza vigogo Kenya

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ajali ya helikopta imeondoa uhai wa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Francis Ogolla leo Aprili 18, 2024. Mbali na Jenerali Ogolla,

Read More
Michezo

Arajiga wa 5-1 apewa tena Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka mkoani Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Simba na Yanga utakaopigwa, Jumamosi hii

Read More
Habari

Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza

Read More
Habari

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizikwa

April 18, 2024 Admin

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho,

Read More
Michezo

Jangwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Michezo

Pingamizi Mwakinyo latupiliwa mbali | Mwanaspoti

April 18, 2024 Admin

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Alhamisi imefanya uamuzi mdogo wa kutupilia mbali pingamizi lililoweka na bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo katika

Read More
Habari

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizwa

April 18, 2024 Admin

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho,

Read More
Michezo

Mapacha Singida Black Stars, Singida FG sare kila kitu

April 18, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo wenyeji Ihefu (Singida Black Stars) wameshindwa katamba kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida baada

Read More
Michezo

angwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,680 3,681 3,682 … 3,688 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.