BILIONI 6 KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI SIHA- KILIMANJARO

Na, Majid Abdulkarim, Siha- Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Siha (CCM) na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollell amesema Shilingi bilioni 6 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan zinaenda kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jimbo hilo huku akiahidi neema zaidi kwa wananchi hao. Kauli hiyo ameitoa leo wakati wa ziara yake Jimboni…

Read More

Siku ya nne mgomo Soko Kuu Mafinga, wauza matunda, samaki wapaza sauti

Mufindi. Wakati mgomo wa wafanyabiashara katika soko kuu Mafinga mkoani Iringa ukiinga siku ya nne nne leo, wafanyabiashara wa matunda, nafaka pamoja na samaki wamelalamikia wakisema mgomo huo unawaathiri kibiashara. Mgomo huo umesababisha adha kwa wananchi na wafanyabiashara wasio na maduka, wakisema wanayategemea maduka hayo kupata bidhaa za kuuza. Mwenyekiti wa soko hilo, Philinus Mgaya…

Read More

Waziri Ummy atangaza Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba

SERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi katika Bara la Afrika na kuwa nchi ya kutembelewa kwa ajili ya utalii tiba kutokana na uboreshanji wa miundombinu ya afya maeneo yote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, alipokuwa akifungua…

Read More

Muswada kuifumua NHIF watua bungeni

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imewasilisha bungeni Muswada wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) 2025 ukiwa na lengo la kuufanyia marekebisho ikiwamo usajili wa wananchama wa sekta binafsi, sekta isiyo rasmi na watu wasio na uwezo. Muswada huo uliosomwa kwa mara ya kwanza katika mkutano wa Bunge wa 18 uliomazika Februari…

Read More

Hakuna Jimbo Linalojitegemea Kweli Ikiwa Itapata Jeraha Muhimu Bila MatokeoPalau – Masuala ya Ulimwenguni

ICJ ilisikia kwamba watoto huko Palau wanasimama kurithi nchi ambayo haiakisi tena hadithi na maadili ya mababu zao. Credit: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (hague & nairobi) Jumanne, Desemba 10, 2024 Inter Press Service THE HAGUE & NAIROBI, Desemba 10 (IPS) – Wajibu wa kufanya bidii unahitaji mataifa kuchukua hatua za haki, za haraka na…

Read More