Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Habari

Sababu Rais Samia kupewa shahada nne za heshima

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uimara katika usimamizi wa sekta fulani na kuwa na mchango katika Taifa lake ni miongoni mwa sababu zilizotajwa na wasomi kuwa chachu

Read More
Habari

Dk Nchimbi atoa agizo Wizara ya Kilimo

April 18, 2024 Admin

Mbeya. Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya ardhi ya kilimo wilayani Mbarali, Wizara ya Kilimo imeagizwa kufanya mazungumzo na mmoja wa

Read More
Habari

Makete mpya isiyo na vilio vya misiba tena

April 18, 2024 Admin

Njombe, Makete. Takriban miongo miwili iliyopita ilikuwa ni jambo la kawaida kuzika watu watatu mpaka wanne kwa siku waliofariki kutokana na maambukizi ya virusi vya

Read More
Habari

Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu

April 18, 2024 Admin

Dar/Mikoani. Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna

Read More
Habari

Hali tete wajawazito Temeke, uongozi wataja mikakati

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Idadi kubwa ya wajawazito wanaopokewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke imesababisha wachangie kitanda kimoja wawili hadi watatu. Licha ya

Read More
Michezo

Baba Sure Boy auweka mpira kati Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

Abubakar Salum ‘Sure Boy Sr’ ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amesema Kariakoo Dabi haijawahi kutabirika, haijalishi ni timu

Read More
Habari

VIDEO: Mapito wanawake waliotelekezwa na waume zao Bwawa la Mtera

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Wazazi wana jukumu la malezi ya watoto, lakini hali imekuwa tofauti kwa baadhi ya familia ziishio pembezoni mwa Bwawa la Mtera wanaolelewa na mzazi

Read More
Habari

Serikali kupanua mkongo wa Taifa kuboresha mawasiliano

April 18, 2024 Admin

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi vya intaneti kuwa juu, Shirika la Mawasiliano nchini (TTCL) limeanza kupanua mkongo wa Taifa na kuuongezea

Read More
Burudani

Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

April 18, 2024 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto

Read More
Habari

Petroli yaadimika Zanzibar, wananchi wapaza sauti

April 18, 2024 Admin

Unguja. Zanzibar inakabiliwa na ukosefu wa mafuta ya Petroli kwa siku mbili mfululizo na kusababisha adha kwa wananchi wanaohitaji nishati hiyo.  Tatizo hilo limeanza Aprili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,681 3,682 3,683 … 3,688 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.