DTB yabeba ndoo ya mabenki Dar

Timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB) imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mashindano ya mabenki msimu huu yaliyofikia tamati usiku wa jana Agosti Mosi kwenye viwanja vya klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam. DTB imeifunga timu ya CRDB benki bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote. Hadi kipindi…

Read More

NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MAONESHO YA “WORLD TRAVEL MARKET LONDON” UINGEREZA

Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inashiriki Maonesho ya “World Travel Market London 2024” ambayo yanafanyika katika jiji la London, Uingereza kuanzia tarehe 5- 7 Novemba, 2024. Maonesho hayo ambayo taasisi mbalimbali za Wizara ya Maliasili na Utalii zinashiriki, NCAA inatumia fursa hiyo kunadi vivutio vya utalii ikijumuisha uzuri wa asili wa Ngorongoro,…

Read More

Israel na Hezbollah washambuliana maeneo muhimu – DW – 24.10.2024

Katika taarifa yake, jeshi la Israel limesema limefanya mashambulizi ya anga usiku kucha katika maeneo linayodai ni muhimu kwa wanamgambo wa Hezbollah, vikiwemo vituo kadhaa vya kuhifadhi na kutenegeza silaha katika eneo la Dahiyeh. Vyombo vya habari nchini Lebanon vimeripoti kwamba takribani majengo sita yalishambuliwa na kuharibiwa vibaya kwenye mashambulizi hayo ya anga ya Israel….

Read More

Uongezaji thamani madini kuibeba Tanzania kiuchumi

Dar es Salaam. Serikali imesema uongezaji thamani madini nje ya nchi unalikosesha manufaa Taifa, yakiwamo mapato na ajira katika mnyororo mzima wa thamani wa sekta ya madini. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hayo leo Novemba 19, 2024 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Madini na Uwekezaji uliowakutanisha washiriki zaidi…

Read More

Azam FC, Yanga zaingia vitani

INAELEZWA kwamba uongozi wa Azam na Yanga umeingia katika vita nzito baada tu ya usajili wa beki ambaye pia ana uwezo wa kucheza kiungo mkabaji, Abubakar Nizar Othman ‘Ninju’, aliyesajiliwa na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 akitokea JKU SC ya Zanzibar. Ninju ametangazwa rasmi kujiunga na Yanga ambapo usajili wake…

Read More