Mashujaa dakika 630 bila ushindi Bara

WAZEE wa Mapigo na Mwendo, Mashujaa ya Kigoma imefikisha dakika 630 bila kuonja ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya juzi jioni ikiwa nyumbani kutoka suluhu na Coasta Union. Mashujaa inayoshiriki ligi hiyo kwa msimu wa pili mfululizo tangu ilipopanda mwaka juzi, mara ya mwisho kuonja ushindi ilikuwa Novemba 23, mwaka jana ilipoikamua Namungo ya…

Read More

WANAWAKE WAJASIRIAMALI WAPIGWA MSASA SHERIA ZA USHINDANI

::::::: Tume ya Ushindani wa Haki (FCC) imeendesha mafunzo maalumu kwa wajasiriamali wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa lengo la kuwaelimisha kuhusu namna bora ya kulinda biashara zao, kuwahudumia wateja kwa ubora, na kuhimili ushindani katika soko. Akizungumza leo, Juni 13, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi…

Read More

Aucho ataja kilichoibeba Yanga msimu huu 2023/2024

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amezungumzia jinsi majeraha yalivyompunguzia kasi ya kupambana msimu huu (2023/24), hata hivyo kilichompa faraja ni timu hiyo kunyakua taji la ubingwa mara tatu mfululizo. Aucho ambaye amechukua ubingwa mara mbili akiwa na Yanga aliyojiunga nayo msimu wa 2021/22 akitokea El Makkasa, alisema kuna kitu kimeongezeka kwenye karia yake, tangu…

Read More