Balozi Ruhinda afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Balozi Ferdinand  Ruhinda (86) amefariki dunia leo Juni 15, 2024 nyumbani kwake Masaki, Dar es Salaam kutokana na maradhi ya kisukari. Mdogo wa marehemu, Edward Ruhinda amethibitisha kutokea kwa kifo cha kaka yake akisema ameugua kwa muda mrefu na amekuwa akihudumiwa na…

Read More

Wabunge wacharuka gharama za vifurushi, matibabu ya figo

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2025/26, huku mjadala kwa wabunge ukiwa kwenye gharama za vifurushi vya bima ya afya na matibabu ya ugonjwa wa figo. Wizara ya Afya ililiomba Bunge kuwaidhinishia Sh1.61 trilioni huku Sh991.75 bilioni kati ya hizo zikienda katika miradi ya maendeleo. Akichangia katika mjadala huo leo Jumanne…

Read More

Gaza 'imegawanyika sehemu mbili' huku raia, wafadhili wakirudisha maisha, juhudi za misaada – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza kwa njia ya video kutoka Jerusalem, Andrea De Domenico, mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (OPT), walisema watu wamelazimika “kurekebisha maisha yao tena na tena.” “Watu, katika kipindi cha miezi tisa iliyopita, wamehamishwa kama 'vibao kwenye mchezo wa bodi'…

Read More

Mpoki ateuliwa mhariri Mtendaji Mkuu MCL

KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mpoki Thomson kuwa mhariri mtendaji mkuu mpya ili kuimarisha mabadiliko ya kihabari kuelekea mfumo wa kidijitali unaoongozwa na ubunifu na ushirikishaji jamii. Taarifa iliyotolewa jana Jumanne na Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Rosalynn Mndolwa-Mworia ilieleza kuwa uteuzi wa Mpoki ni sehemu ya safari ya kampuni hiyo kuongoza mageuzi katika…

Read More

Hatifungani hii ni ya zawadi za sikukuu

Msimu huu wa sikukuu unahusu zawadi, kutoa na kupokea. Ikiwa umejipatia zawadi ya fedha au unapanga kujinunulia kitu cha thamani, ni wakati mwafaka kufikiria jinsi unavyoweza kutumia zawadi hii kwa njia yenye manufaa zaidi. Mojawapo ya njia bora ni kuwekeza katika Hati Fungani ya Miundombinu ya Samia, mpango wa kipekee unaolenga kuharakisha maendeleo ya barabara…

Read More