KILA MTANZANIA ANADAIWA TSHILINGI 1.6

 ::::::: Kila Mtanzania anadaiwa takribani Sh. 1,668,176.80 kulingana na deni la Taifa ambalo limefikia Sh. trilioni 107.7, Machi 2025, kutoka Sh. trilioni 91.7 Machi mwaka jana.  Hii ni kwa sababu idadi ya Watanzania imeongezeka hadi 64,241,822 mwaka 2024 kulinganishwa na watu 61,718,700 mwaka 2023.  Akiwasilisha leo bungeni Juni 12, 2025 taarifa ya Hali ya Uchumi…

Read More

KIWANGO CHA MIKOPO CHECHEFU KIMESHUKA KWA 4.3%

Na Janeth Raphael- MichuziTv -Dodoma Gavana wa Benk Kuu Tanzania (BOT) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Bima ya Amana (DIB) Emmanuel Tutuba amesema kuwa kiwango cha Mikopo Chechefu kimeshuka hadi kufikia asilimia 4.3 ikiwa ni kiwango cha chini kabisa ambacho kiko chini ya asilimia 5 inayokubalika Kimataifa. Tutuba amesema hayo leo…

Read More

Shida ya Yanga siyo Aziz Ki

KIBARUA kijacho Yanga ni pale Algeria kwa ajili ya mechi yake ya pili ya Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger, lakini mashabiki wakiwa hawana amani hasa kutokana na viwango vya nyota wao ikiwemo Stephane Aziz Ki na Prince Dube. Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara ikilala…

Read More

WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU

Na. Beatus Maganja Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi. Wakizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa…

Read More