Ilani ya ACT Wazalendo itakayokuwa

Kibondo. Chama cha ACT Wazalendo kimesema, kipo katika hatua za mwisho za kukamilisha maandalizi ya ilani yake ya uchaguzi kwa mwaka 2025/2030, kikisema itakuwa tumaini la ustawi wa kiuchumi na maisha bora kwa Watanzania. Hatua hiyo ni mwanzo kuelekea kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, kikisisitiza kukata tamaa hakujawahi kuwa silaha sahihi ya kutatua…

Read More

DCEA YAZUIA TANI 14 ZA KEMIKALI BASHIRIFU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, wamefanikiwa kuzuia tani 14 za kemikali bashirifu zilizokuwa ziingizwe nchini kinyume cha sheria. DCEA imefanikiwa zoezi hilo wakati wakifanya operesheni katika mikoa ya Dar es Salaam, Shinyanga, Tabora, Tanga, Songwe, Mbeya na Arusha…

Read More

Nane wajeruhiwa ajali ya moto wakiangalia mechi ya Yanga

Mbozi. Watu wanane wamejeruhiwa katika ajali ya moto uliotokea katika duka la kuhifadhia na kuuzia vinywaji vya jumla na rejareja,  baada ya duka hilo kuwaka moto unaodaiwa kusababishwa na mafuta ya petroli yaliyokuwa yamehifadhiwa ndani. Majeruhi hao waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi iliyopo Mkoa wa Songwe, walikuwa wakiangalia mpira katika duka hilo, lakini…

Read More

RAIS SAMIA ATENGUA TENA VIGOGO HAWA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Viongozi mbalimbali akiwemo Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Rais amemtengua pia Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi…

Read More

Serikali yaita wawekezaji hatifungani ya miaka 20

Dar es Salaam. Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeita wawekezaji kuwekeza kwenye hatifungani ya muda mrefu ikiahidi riba ya asilimia 15.49 kila mwaka. Taarifa iliyotolewa na BoT Desemba 11, 2024 katika tovuti yake ilionyesha Serikali inahitaji kukusanya Sh156 bilioni kwenye mnada utakaofanyika Desemba 18, 2024. “Mnada huo utakaofanywa kupitia Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Aucho atemwa, Mukwala aitwa The Cranes

Kiungo wa Yanga, Khalid Aucho hayupo katika orodha ya wachezaji 28 walioitwa na timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ kwa ajili ya mechi mbili za kimataifa za kirafiki dhidi ya Cameroon na Gambia zitakazochezwa mwezi ujao huko Morocco. Michezo hiyo ambayo inaonekana ni maalum kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali mojawapo ni Fainali…

Read More