
Mkutano wa marais Dar kumaliza machafuko DRC?
Dar es Salaam. Swali vichwani mwa wafuatiliaji masuala ya siasa, amani na usalama ni je, wakuu wa nchi wanaokutana kesho Jumamosi Februari 8, 2025 jijini Dar es Salaam watapata suluhisho la vita Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo? Wakuu hao wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika…