Taoussi siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi mbili za kumalizia msimu ikiwamo dhidi ya Tabora United na ile ya Fountain Gate, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza mapema mipango kikosi hicho kuanzia kwa wachezaji hadi benchi la ufundi na siku za kocha Rachid Taoussi kwa sasa zinahesabika. Taarifa ambazo Mwanaspoti imepenyezewa kutoka kwa mabingwa…

Read More

Mambo matatu yaliyomnasua aliyekuwa RC Simiyu

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda baada ya kubainisha mambo matatu yanayoifanya mahakama hiyo kutomtia hatiani. Uamuzi wa kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024, yenye kosa la kulawiti, umesomwa leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Erick Marley. Upande…

Read More

Safari kina Mdee kurejea Chadema yaiva

Dar es Salaam. Kuna vuguvugu la chinichini la baadhi ya wabunge wa viti maalumu kati ya 19 waliovuliwa uanachama wa Chadema kurejea ndani ya chama hicho. Vuguvugu hilo ambalo pia linazua mjadala wa pande mbili, liliwekwa wazi Agosti 6, 2024 kupitia kauli ya Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Zanzibar, Salum Mwalimu kuwa “CCM itamuota…

Read More

Huawei na Vodacom Tanzania Zazindua Mpango wa DigiTruck, Unaokuza Maendeleo Jumuishi na Endelevu ya kidijitali Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya Huawei na Vodacom Tanzania zimeungana kuzindua mpango wa DigiTruck wa kutoa elimu na ujuzi wa kidijitali ili kukidhi dira ya serikali ya Tanzania katika kukuza ubunifu, ushirikishwaji na maendeleo endelevu kupitia matumizi ya teknolojia ya kidijitali. Uzinduzi huo ulifanywa na Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Cheza Super Heli na Ushinde Samsung Galaxy A26 Kila Wiki

HATIMAYE sasa mchezo wa Super Heli unaopatikana kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet umewasili na ujio wake wakati huu ni wa mvuto kwani mchezo umekuja na zawadi murua kabisa kwa wachezaji. Washindi mbalimbali wa mchezo huu sasa watajinyakulia simu za Smartphones za kisasa kabisa aina ya Samsung A26, hivyo kama bado hujaanza kucheza huu mchezo…

Read More

WAWEKEZAJI BIASHARA YA KABONI WAANZA KUMIMINIKA NCHINI

Mwandishi Wetu, Dar e Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa Biashara ya Kaboni kutoka nchini Korea ambao wameonesha nia ya kuja kuwekeza nchini katika biashara hiyo. Kikao hicho kimefanyika Dar es Salaam, Julai 15, 2025 ambapo Waziri…

Read More