Taoussi siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti
AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi mbili za kumalizia msimu ikiwamo dhidi ya Tabora United na ile ya Fountain Gate, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza mapema mipango kikosi hicho kuanzia kwa wachezaji hadi benchi la ufundi na siku za kocha Rachid Taoussi kwa sasa zinahesabika. Taarifa ambazo Mwanaspoti imepenyezewa kutoka kwa mabingwa…