WAZIRI RIDHIWANI AIPONGEZA LESCO – MICHUZI BLOG

    Na: Mwandishi wetu – Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amepongeza LESCO kwa kuendelea kusimamia haki na uwajibikaji wa masuala ya kazi, uchumi na kijamii. “Nitumie fursa hii kuwapongeza kwa moyo wa dhati kwa kutekeleza vema majukumu yenu kwa ufanisi ili…

Read More

KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA KIFO CHA MZEE S. T. NATHAN

  Ni Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika 17 sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani. Nimajonzi sana kwetu na pengo lako halijazibika hadi hivi leo. Unakumbukwa na wengi sana maana ulikuwa ni mhimili mkuu katika familia, kipekee unakunbukwa na Mke wako Mary…

Read More

JESHI LA POLISI LIMESAMBAZA ASKARI KATA 3945 ILI KUHAKIKISHA USALAMA WA WENYE UALBINO NCHINI

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi( SACP) Ralph Theobald Meela akipokea tuzo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi( SACP) Ralph Theobald Meela akizungumza  kwenye kelele hicho. Na Khadija Kalili, Michuzi Tv MKUU wa jeshi la Polisi nchini IGP Inspekta Jenerali Camilius Wambura amesema Jeshihilo nchini tayari limesambaza Askari…

Read More

MAN CITY WASHUSHA KIFAA KIPYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Manchester City imethibitisha kumsajili winga wa Kibrazil, Savinho kwa ada ya pauni milioni 21 itakayofikia milioni 33.6 pamoja na nyongeza akitokea Troyes ya Ufaransa. Savinho (20) ambaye msimu uliopita alikuwa kwa mkopo Girona ya Uhispania amesaini mkataba wa miaka mitano mpaka Juni 2029 na anakuwa usajili wa kwanza wa Man City majira haya ya…

Read More

Maonyesho ya Diaspora ya Kiafrika yanaonyesha mshikamano wa mabadiliko na urithi wa utumwa – maswala ya ulimwengu

na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Machi 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mbele ya Siku ya Kimataifa ya Ukumbusho wa Waathirika wa Utumwa na Biashara ya Watumwa wa Transatlantic Mnamo Machi 24, Umoja wa Mataifa (UN) ulifunua maonyesho mapya yakichunguza mada za usawa na mshikamano katika muktadha wa diaspora ya Kiafrika. Hadithi…

Read More