POWER IRANDA: Hizi ndizo siri za kiduku katika ngumi

UNAPOLITAJA jina la Twaha Kiduku, basi huwezi kuacha kumtaja kocha wake, Chanzi Mbwana Chanzi maarufu kama Power Iranda kwa kuwa ndiye aliye nyuma ya mafanikio ya mbabe huyo wa masumbwi nchini. Power Iranda amekuwa taswira ya Kiduku anapokuwa nje ya ulingo na ndiye anayehakikisha bondia huyo anapigana masumbwi na kupata mafanikio katika mchezo huo ambao…

Read More

ACT- Wazalendo yajifungia kujadili utekaji, sakata la Ngorongoro

Dar es Salaam. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo wanakutana kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kitaifa, ikiwamo migogoro ya ardhi, matukio ya utekaji na matishio ya usalama yanayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti nchini. Mbali na hayo, kikao hicho ambacho kimeelezwa kuwa cha kawaida kikatiba, wajumbe pia watajadili mikakati endelevu ya ujenzi…

Read More

KenGold yaanza upya, Fountain Gate kazi ipo

WAKATI Ken Gold ikitarajia kushuka uwanjani Jumatano uwanjani kuwakabili Fountain Gate, benchi la ufundi limesema halitarajii kuruhusu tena bao badala yake ni kutembeza vipigo baada ya kukisuka upya kikosi. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haikuwa na mwanzo mzuri baada ya kukandwa kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Singida Black Stars na…

Read More

TASHICO YAFAFANUA MELI MV SERENGETI KUZAMA ZIWA VICTORIA

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA KAMPUNI ya Meli Tanzania (TASHICO) imefafanua tukio la kuzama kwa meli ya MV Serengeti katika Bandari ya Mwanza Kusini,Ziwa Victoria, baadaa ya kukumbwa na tatizo la kuegemea upande wa nyuma na kutitia chini ndani ya maji. Akizungumza na waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASHICO, Wakili Alphonce Paul Sebukoto, ameeleza…

Read More

MABOMU BARIDI 700 KUTUMIKA WILAYANI NACHINGWEA KUDHIBITI TEMBO

Na Anangisye Mwateba-Nachingwea Lindi Wizara ya Maliasili na Utalii inatarajia kugawa mabomu baridi yapatayo 700 kwa ajili kukabiliana na wanyama wakali na waharibifu wilayani Nachingwea. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula (Mb) alipokuwa akiongea na mamia ya wananchi wa kata za Mkoka na Kilimarondo wilayani Nachingwea, ikiwa ni muendelezo…

Read More

Suzan Lyimo na kilio cha wazee kuachiwa wajukuu

Miaka ya hivi karibuni bibi na babu wamekuwa wakikwepa kuishi na wajukuu, huku baadhi ya sababu zikitajwa ni maisha kuwa magumu, lakini wenye watoto wao kushindwa kuwagharimia matumizi yao. Jambo hili linaungwa mkono na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Susan Lyimo, ambaye hivi karibuni alifanya mahojiano na Mwananchi na kuzungumzia mambo mbalimbali…

Read More

Mida ya Simon Msuva kupiga mkwanja

MSHAMBULIAJI Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu ya Iraq, Iraq Stars League, anamaliza mkataba wake na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu na inaelezwa anatakiwa na klabu za Misri na Saudi Arabia kutokana na kuvutiwa na kiwango chake. Nyota huyo wa zamani wa Wydad AC anatarajiwa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu baada…

Read More

Baraza aanza na kipa, atoa sababu

BAADA ya kutua Pamba kuchukua mikoba ya Fred Felix ‘Minziro’, Mkenya Francis Baraza ameutaka uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanambakiza kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos. Baraza aliyeingia makubaliano ya mwaka mmoja kuinoa Pamba, alitambulishwa rasmi juzi Julai 30, 2025, katika ofisi za halmashauri ya Jiji la Mwanza. Baraza aliyewahi kuzinoa Dodoma Jiji,…

Read More

Punguza unene kwa kula kabichi mara tatu kwa siku

Msingi wa utafiti huo ni kuwa kabichi ina madini maarufu kama fibre, asidi na vitamini ambayo yanasaidia kupunguza mafuta mengi ndani ya mwili wa mwanamume. Kula kabichi mara tatu kwa siku kunapunguza unene kupita kiasi miongoni mwa wanaume, wanasayansi wamebaini. Katika utafiti uliochapishwa kwenye jarida la BMJ Open, kabichi iliyotiwa chumvi, kuchachuka na pia kuongezewa…

Read More