Yanga kazi imeanza! | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wameshamaliza kazi ya kusajili majembe ya maana kwa kikosi cha msimu ujao wa mashindano, ikiwamo kushusha makocha wapya katika benchi la ufundi na leo benchi hilo chini ya kocha Romain Folz linaanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi hicho kwa maandalizi ya msimu mpya. …

Read More

Bashiru Ally aivaa serikali kukalia vibali vya wahadhiri

MBUNGE wa kuteuliwa, Dk. Bashiru Ally amesema vikwazo vinavyoendekezwa na tume ya utumishi wa umma katika kuidhinisha vibali vya wahadhari kupanda vyeo, vikwamisha vyuo vikuu nchini kuwa vya kimataifa. Pia ameitaka serikali ipeleke marekebisho ya sheria ya utumishi wa umma bungeni kwani inagusa maeneo ya usimamizi wa rasilimali katika taasisi nyeti na za kimkakati kama…

Read More

Yanga v Stand United FA mechi ya kibishi

WATETEZI wa Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo wanashuka uwanjani kuikaribisha Stand United katika mchezo wa robo fainali ya michuano hiyo, huku Chama la Wana likipiga hesabu ya kuwa klabu ya kwanza ya Ligi ya Championship kutinga nusu fainali baada ya nyingine kutolewa. Mchezo huo wa hatua ya robo fainali utapigwa kwenye Uwanja…

Read More

TUNA UMEME WA KUTOSHA SASA NA MIAKA KADHAA MBELE-MHANDISI MRAMBA

Na Mwandishi Wetu.  Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema kuwa vyanzo vya umeme vilivyopo nchini vinazalisha umeme unaotosheleza mahitaji ya sasa na ya miaka kadhaa mbele. Mha. Mramba amesema hayo wakati alipotembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (DITF) yanayoendelea jijini Dar es Salaam na kujionea shughuli zinazofanywa na Wataalam kutoka Wizara…

Read More

Neema ya Kariakoo Dabi kiuchumi

Achana na burudani wanayopata mashabiki wa soka nchini inapokuja Dabi ya Kariakoo, lakini ukweli, pambano hilo la watani wa jadi nchini, limekuwa na neema kubwa kwa wachuuzi na wafanyabiashara waliopo kando ya Uwanja wa Benjamin Mkapa na maeneo ya jirani. Wakati leo pambano hilo likitarajiwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni tayari wafanyabiashara wadogo wadogo na…

Read More