Metacha, Masalanga waanza mazungumzo mapya Singida BS

MAKIPA waliomaliza mikataba Singida Black Stars, Metacha Mnata na Hussein Masalanga wapo katika mazungumzo mapya na uongozi wa timu hiyo, kama wanaweza wakaendelea nao msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zinasema: “Tunafanya mazungumzo na makipa hao kwa kumshirikisha Kocha Miguel Gamondi, kama tutafikia nao muafaka basi tutawaongezea mikataba. “Ni makipa wazuri…

Read More

TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO

  KLABU ya Simba imeshindwa kutamba ugenini katika hatua ya robo fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry ya nchini Misri baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Suez nchini humo. Katika mchezo huo licha ya kuutawala mchezo kwa kiwango kikubwa, Simba haikufanikiwa kupata bao katika nafasi…

Read More

Aucho aanika mipango yake 2024/25

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amesema anautumia muda wake wa mapumziko kuhakikisha anarejea kwenye utimamu wa mwili, ili msimu ujao awe fiti na kufanya makubwa Ligi Kuu Bara. Msimu ulioisha Aucho aliumia goti  mechi ya ugenini ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ya Misri, ambapo alifanyiwa upasuaji mdogo wa goti, kitu kulichomfanya…

Read More

VIPAUMBELE 14 VYA TAMISEMI HIVI HAPA – MHE MCHENGERWA

OR TAMISEMI WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara na taasisi zake kwa mwaka 2025/26, Mhe. Mchengerwa amesema utekelezaji wa mpango wa majeti unazingatia vipaumbele vya kusimamia shughuli za utawala bora,…

Read More

EACLC kitakavyokuza biashara za kimataifa

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), Dk Lisa Wang amesema Kituo hicho kitawezesha wafanyabiashara wa Tanzania kupanua biashara zao kikanda na  kimataifa. Ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya kufungua rasmi kituo hicho iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan leo, Agosti Mosi 2025. Kituo hicho kimegharimu Sh282.7 bilioni…

Read More

Visa vya watoto wa pili kwenye familia

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa utafiti nafasi ya mtoto kuzaliwa katika familia, inaweza kuathiri tabia zake. Inaelezwa kwa mfano, wakati watoto wa kwanza huwa na tabia za uongozi katika kufanya majukumu yao na hata kuwaongoza wadogo zao; watoto wa mwisho au vitinda mimba wanaongoza kwa kudeka. Aghalabu, huona kila majukumu wanayopewa kama hawastahili. Watoto…

Read More