JAFO:MFUMO STAKABADHI GHALANI UMEMSAIDIA MKULIMA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza na waandishi wa habari,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma,kuhusu kuhitimisha msimu wa biashara ya bidhaa za kilimo kupitia mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwa mwaka 2024/2025 na kujiandaa na msimu mpya wa 2025/26. WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza na waandishi wa habari,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma,kuhusu kuhitimisha…

Read More

MAFUNZO YA WATAALAMU WA AFYA YA MIFUGO KIMATAIFA YAZINDULIWA

Na Mwandishi wetu Serikali imezindua rasmi mradi wa mafunzo ya kimataifa kwa wataalamu wa afya ya mifugo, yanayofanyika katika nchi nne za Tanzania, Botswana, Zambia na Malawi. Mafunzo hayo yameandaliwa kupitia mradi wa EDVET unaosimamiwa na Shirika la MIOUT, kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Hungary, Finland na Slovakia. Akizungumza leo wakati wa uzinduzi wa mafunzo…

Read More

WADAU WAKUTANA KUJADILI UTEKELEZAJI MALENGO YA SDGs

NAIBU  Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Dkt. Lorah Madete,akizungumza wakati akifungua  Warsha ya Jukwaa la  kitaifa ya kuimarisha utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) lililowashirikisha wadau kutoka Serikalini na asasi za kiraia lililofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.   Mchumi Mwandamizi kutoka Ofisi a Rais – Tamisemi.  Idara ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bi….

Read More

Samia atua zigo la majaji

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hana dhamira ya kugombana na majaji, hivyo amedhamiria kumuacha Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma aliyebakiza miezi michache, aende kupumzika. Amesema hayo leo Jumamosi Aprili 5, 2025 alipozindua majengo matatu ya makao makuu ya Mahakama Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama na nyumba za majaji zilizojengwa katika eneo la Iyumbu,…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA MZEE MONGELLA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akisaini kitabu cha maombolezo na kumpatia pole, Mama Gertrude Ibengwe Mongella, familia yake na waombolezaji wengine, kwa msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, ambaye ni mwenza wa Mama Mongella, leo Jumanne, tarehe 3 Juni 2025, eneo la Makongo juu, jijini Dar Es…

Read More