Jinsi Raila alivyoukosa uenyekiti Umoja wa Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf amemshinda Raila Odinga wa Kenya kwenye kinyang’anyiro cha mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC). Mchuano huo uliokwenda hadi mzunguko wa saba Youssouf ameshinda kwa kupata kura 33, baada ya Raila kuondoa jina lake. Raila alilazimika kuondoa jina lake kwenye mzunguko wa sita, wakati huo…

Read More

Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha Yanga kwa misimu miwili kuanzia 2016-2018 alisema, sababu kubwa inayochangia timu hiyo kufanya vizuri kwa misimu mitatu mfululizo ni kutokana na usajili mzuri uliofanywa na viongozi wao kikosini. “Yanga ina…

Read More

WANAHARAKATI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MAFANIKIO DIRA YA TAIFA 2025

WANAHARAKATI wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wameipongeza Serikali kwa uwajibikaji mkubwa kwenye Dira ya taifa ya miaka 25 iliyopita katika nyanja ya elimu ,afya pamoja na sekta ya habari na mawasiliano. Pongezi hizo zimetolewa leo Julai 10,2024 Mabibo -Jijini Dar es salaam,kwenye semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) zinazofanyika kila jumatano TGNP-Mtandao, Akizungumza wakati…

Read More

KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CRC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amekutana na Mheshimiwa Youssoufa Mohamed Ali,Waziri wa Ulinzi ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Tawala Comoro cha CRC ambaye pia ni Katibu wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro na kuzungumzia kuimarisha uhusiano baina ya vyama hivyo ikiwa ni pamoja na kutoa fursa…

Read More

Mkakati mkubwa wa teknolojia ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali wazinduliwa

Katika mkakati unaolenga kuleta mabadiliko kwenye sekta ya biashara, na kuendeleza upatikanaji wa huduma za kifedha nchini Tanzania kwa ufanisi zaidi benki ya Stanbic Tanzania inashirikiana na Ramani, kampuni namba moja kwenye teknolojia ya kifedha, malengo yakiwa kutumia teknolojia na msaada kubwa ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali. Muunganiko…

Read More

Mradi wa LTIP kumaliza changamoto ya makazi holela Kondoa.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) umedhamira kumaliza changamoto ya makazi holela kwa kuyafikia maeneo yote ambayo yameendelezwa bila kupangwa na hayajafikiwa na zoezi la urasimishaji katika Halmashauri ya Mji wa Kondoa. Mradi huo unalenga kutambua, kupanga, kupima na kuwamilikisha wananchi katika maeneo…

Read More