RAIS MSTAAFU JK AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA NIGERIA

RAIS Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) amekutana leo na Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Taasisi hiyo na Nigeria. Pamoja na mambo mengine, Rais mstaafu Kikwete amemweleza nia ya Taasisi hiyo kutaka kuiomba Nigeria kuwa…

Read More

Yanga kutembea na upepo wa Arajiga leo?

YANGA inashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni kupambana na watani zao, Simba, huku timu hiyo ikiwa na rekodi bora msimu huu wakati michezo yao ya Ligi Kuu Bara ilipochezeshwa na mwamuzi wa kati, Ahmed Arajiga. Arajiga kutokea mkoani Manyara ndiye aliyepewa jukumu la kutafsiri sheria 17 za soka baina ya timu hizo, huku…

Read More

NYAKUA MKWANJA KWA KUCHEZA 20 IMPERIAL CROWN DELUXE

FURSA ya kupiga mamilioni ipo wazi leo pale ambapo utacheza mchezo wa kasino wa 20 Imperial Crown Deluxe ambao utakupa nafasi ya kujishindia kitita cha kutosha, Cheza mchezo huu leo uibuke mshindi. 20 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoni unaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu yenye mistari 20…

Read More

WAZIRI WA NISHATI ZANZIBAR AIPA KONGOLE REA

-AISISITIZA KUENDELEA NA UHAMASISHAJI -REA YAELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NA USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI Waziri wa Maji, Nishati na Madini, Mhe. Shaib Kaduara ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kuhakikisha huduma za Nishati zinafika katika maeneo yote ya Vijiji Tanzania Bara. Ametoa pongezi hizo Jijini Dar es Salaam…

Read More

NAIBU WAZIRI SANGU: MAAMUZI YA MAMLAKA ZA AJIRA NA NIDHAMU KWA WATUMISHI ZINAIINGIZIA HASARA SERIKALI

 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akizungumza leo na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma mara baada ya kushuhudia  usikilizaji wa  rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na watumishi watuhumiwa ambao hawakuridhika  na uamuzi uliofanywa  na  Mamlaka zao za Ajira na Nidhamu katika maeneo yao ya…

Read More

Pochinki City mabingwa Ngao ya Jamii Yamle Yamle

MABINGWA watetezi wa michuano ya Yamle Yamle Cup, timu ya Pochinki City imetwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mazombi FC katika mechi ya ufunguzi ya mashindano hayo msimu wa 2025. Mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Mao Zedong Julai 12, 2025 na kuhudhuriwa na mashabiki wengi…

Read More

NBC yaja na kampeni kuhamasisha kilimo cha kahawa Mbinga

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi kampeni yake ya ‘Shinda Mechi Zako Kinamna Yako na NBC Shambani’ wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma ikilenga kuchochea kasi ya uzalishaji wa zao la kahawa wilayani humo kupitia huduma zake mahususi na zenye upendeleo kwa wakulima wa zao hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Ikitambulishwa kwa…

Read More

Mbowe: Viongozi wote Chadema hawataripoti polisi

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema viongozi wote wa chama hicho hawatokwenda kuripoti polisi kama ambavyo wameelekezwa baada ya kujidhamini wenyewe na wengine kudhaminiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mbowe ametoa msimamo huo leo Jumatano wakati akizungunza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu…

Read More

Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji

Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia askari wawili wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) na mgambo kwa tuhuma za kumuua kwa risasi kijana Octovania Temba. Temba ni mkazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro. Wakazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani…

Read More