Majaliwa atoa kauli ubunge wa Ruangwa

Waziri Mkuu wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Jumatano, Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15. Akizungumza na wajumbe wa kamati za siasa ya mkoa na Wilaya ya Ruangwa leo Jumatano, Julai 2, 2025, Majaliwa ametumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi kwa…

Read More

Ramovic kuchukua uamuzi mzito Yanga

YANGA haitaki chochote Jumamosi hii zaidi ya ushindi mbele ya MC Alger. Hali hiyo imemfanya Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Sead Ramovic, kuchukua uamuzi mzito ili kuhakikisha wanatoboa. Ramovic ambaye leo Januari 16 anatimiza siku 62 tangu atambulishwe kikosini hapo na kuiongoza Yanga kucheza mechi kumi za mashindano tofauti, aamini uwezo wa kuifunga MC Alger…

Read More

Zubaa uchekwe! | Mwanaspoti

UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi zitafahamika. Katika muda huo kuna baadhi ya timu na wachezaji binafsi wanafukuzia jambo ambapo katika kipindi hiki cha mwishoni mwa ligi, ukizubaa utachekwa wakati…

Read More

CHATANDA AZINDUA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA,KATIMBA ATAJA NAMNA ITAKAVYOWAFIKIA WANAWAKE NA WATOTO

MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Marry Chatanda, akizindua  kamati ya Haki na Sheria ya UWT,iliyoenda sambamba na uzinduzi wa kampeni ya msaada wa kisheria leo Septemba 7,2024 jijini Dodoma. Na.Mwandishi Wetu_DODOMA MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Marry Chatanda ,amezindua kampeni ya msaada wa Kisheria inayoratibiwa na Kamati ya Haki na Sheria…

Read More

Waziri Mkuu kufanya ziara ya siku tatu Geita

Chato.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufanya ziara ya siku tatu mkoani Geita kuanzia Mei 31, hadi Juni 02, 2024. Lengo la ziara hiyo ya kikazi ni kushiriki Wiki ya Mazingira inayotarajiwa kuanza Juni mosi mwaka huu. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo Alhamisi Mei 30, 2024 wilayani Chato, Mkuu wa Mkoa wa Geita,…

Read More