Kagame kuendelea leo Dar | Mwanaspoti

BAADA ya jana kupigwa michezo minne ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame, itaendelea leo na itakuwa ni zamu ya timu za kundi ‘B’, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam. Mchezo wa mapema utakuwa kati ya Al Hilal ya Sudan itakayocheza dhidi ya Djibouti Telecom ya Djibouti…

Read More

Watumiaji wa sponji za kuoshea vyombo kaeni chonjo

Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti uliofanywa na wataalamu wa microbiolojia duniani, umebaini sponji za kuoshea vyombo vya chakula, zinabeba bakteria wanaoweza kusababisha madhara. Utafiti huo uliofanywa na wataalamu kwa nyakati tofauti na kuchapishwa na BBC, umebaini sponji zina mazingira mazuri kwa bakteria kustawi, ikiwa ni pamoja na kuzaliana ingawa kwa mtu mwenye afya njema,…

Read More

Kikwete awataja Wachaga vinara wa kujituma

Rombo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema iwapo Watanzania wangekuwa na ari ya kujituma kama wanavyofanya Wachaga, nchi ingekuwa mbali kwa maendeleo. Kikwete ametoa sifa hizo kwa Wachaga, huku akiyahusisha baadhi ya makundi ya watu nchini, ambayo hata kulima kwa ajili ya mlo wao wanalazimika kusukumwa. Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 alipowaongoza…

Read More

Utata hukumu ya ndugu waliokiri kuwashambulia wanafamilia

Dar es Salaam. Ni mwaka mzima sasa familia iliyoshambuliwa huku mmoja wao akijeruhiwa kwa kupigwa risasi imekuwa ikisubiri bila taarifa yoyote, rufaa ya hukumu iliyoahidiwa kukatiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) kupinga adhabu waliyosomewa washtakiwa. Katika hukumu hiyo washtakiwa hao ambao ni ndugu wawili, Nahir Mohamed Nasoro na Mundhir Mohamed Nasoro, waliomshambulia Gerdat…

Read More

Alliance One Tobacco yashinda tuzo za ATE za mwajiri bora wa mwaka

KAMPUNI ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania Limited(AOTTL) imeibuka mshindi wa jumla katika kuzalisha ajira nchini iliyotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania(ATE). Kampuni hiyo yenye kiwanda cha tumbaku mjini Morogoro ilikabidhiwa tuzo ya ushindi huo mwishoni mwa wiki mkoani Dar es Salaam.  Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja Rasilimaliwatu wa kampuni hiyo, Blasius Lupenza…

Read More